Picha ya Wiki: Waziri wa Ulinzi akitumia kifaa kitaalamu sana akiwa katika tafrija Msata-Pwani!

Kwa nini waziri hakupata gwanda ?
 
Itaendekea kuwa ngumu ikiwa Jamiiforums tutakuwa tunaona hizi nyuzi

Yaani tukiwa tuna dhalilishana.
 
Na hapo Mamedia ya Jeshi wako busy wanachukua Video na Media kubwa kubwa
I WISH I CULDU BE IGP In Meko Voice
 
Vilaza wengi wako serikalini, maana kilaza mkubwa ndo m
gawa
Vilaza wengi wako uko, katika nchi za dunia ya kwanza kwenye Post kubwa kama hiyo security ya nchi lazima atakuwa technical know how, siyo kuweka kilaza asiyejua abcd ya security system.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…