Picha:Yanga ikijiandaa kwa Mwarabu vs Simba kwa MCC

Maneno ya wakosaji? (mkia) naona mnatuombea njaaa. hahaaaa
Hakuna haja ya kuiombea Yanga njaa. Yanga haijawahi kupiga hatua kubwa katika michuano ya Africa. Mfadhili amechoka na hatagombea tena! Michuano ya Afrika ina raha unapoingia walau robo fainali kwani kuna mgao fulani unatoka CAF, vinginevyo ni hasara kushiriki raundi ya awali, ya kwanza na kuishia 16 bora. Mpira ni biashara, usione watu wanauza wachezaji ukadhani hawana akili. siku anayetoa hela bure atakapochoka ndipo watu watatia akili, na ndipo watakapojua kwamba unatakiwa ushiriki michuano ya Africa hadi walau robo fainali ili uanze kurudisha fedha yako
 
Mkuu hivi kwa mazoezi hayo mtamtoa mwarabu kweli?
Au mnadhani mnaenda kupambana na abajalo ya sinza?

Yani hawa mcc wanapiga mpira mkubwa sana leo.Tatizo ni hiyo minoti ya muhindi waliyopewa jana jioni ili wasiifunge Yanga,so ngoma itaisha kwa droo,ikitokea tofauti 'nibandueni'

We jamaa umekimbia na ahadi yetu. mi bado nakutafuta nikuonje yaani ntakutafuta hadi NIKUBANDUE HIYO BIGIJII.
 
Yanga Africa Yanga Afrika...
Umoja wa Mataifa.....
Mabingwa wa Tanzania na Africa, mashariki na katiii.....
Abasi Gulamali, raisi wa Yanga......

 
Last edited by a moderator:
Sumu ya Yanga ni waarabu,yaani hata mkijikusanya waarabu 11 mkaenda kucheza nao mnatoka na ushimdi
 
Wewe inaonesha unaujua mpira wa Afrika kwa kusimuliwa tu....

 

Unalikumbuka LIBORO FC lilivyokufanyia udhalilishaji wa kijinsia pale Taifa Guest House? au unajisahaulisha makusudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…