Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
View attachment 9256
mimi na mama watoto wangu tukiwa tumependeza.
Mmeona bi mkubwa alivyopendeza na miwani yake?
Bujibuji,
Hongereni sana mzae watoto wa kike na wakiume.
watch mine tooπ
watch mine too:d
Mmmh! Makofia yako ya kigaidi zaidi.watch mine tooπ
mbona ndoa yako inatia shaka?[/QUOTE]
Si kweli ni staili yangu ya maishatu π
Mmmh! Makofia yako ya kigaidi zaidi.
mungu hafanani na manyanikama wamefunga ndoa hii kanisani, basi mungu aonaye sirini na awabariki na kuwajazi!
Tazama, wote wameumbwa kwa sura na mfano wake!
Khaaa, hongereni.... na hapo mkifyatua mtoto sipati picha atafananaje ????[/QUOTE]
ATAFANANA NA MZUKA, KWANI WEWE HAUONI?