Picha yangu ya leo asubuhi, hamjambo marafiki zangu?

Picha yangu ya leo asubuhi, hamjambo marafiki zangu?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
acf842e8-2107-49a2-bdf3-b7d72d58d742.jpg
 
Duh! sisi wa chapa ilale tunapita kushoto


Aahahahahaa bora upite kushoto Mkuu, usithubutu kugusa maana utanasa halafu kujinasua huwezi.....

Ukikutana na fundi wa kuzichezea chuchu za kiume, uweeeh utajikuta unatoa ukunga /unapiga ukelele wa kiume kama yule jamaa aliyelalamikiwa na wapangaji wenzake miguno anayoitoa usiku akiwa faragha na mkewe eehehehehehehee.

Kuna mengi mnayakosa...🙂.
 
Aahahahahaa bora upite kushoto Mkuu, usithubutu kugusa maana utanasa halafu kujinasua huwezi.....

Ukikutana na fundi wa kuzichezea chuchu za kiume, uweeeh utajikuta unatoa ukunga /unapiga ukelele wa kiume kama yule jamaa aliyelalamikiwa na wapangaji wenzake miguno anayoitoa usiku akiwa faragha na mkewe eehehehehehehee.

Kuna mengi mnayakosa...🙂.
Dah kumbe
 
Aahahahahaa bora upite kushoto Mkuu, usithubutu kugusa maana utanasa halafu kujinasua huwezi.....

Ukikutana na fundi wa kuzichezea chuchu za kiume, uweeeh utajikuta unatoa ukunga /unapiga ukelele wa kiume kama yule jamaa aliyelalamikiwa na wapangaji wenzake miguno anayoitoa usiku akiwa faragha na mkewe eehehehehehehee.

Kuna mengi mnayakosa...🙂.
hao wanyonyaji wenyewe hawapo mbona, hawa mabinti wa 4G watayajulia wapi hayo
 
hao wanyonyaji wenyewe hawapo mbona, hawa mabinti wa 4G watayajulia wapi hayo


Eehehehehehheee hizo ni mbinu za medani, si kila mwanamke anazijulia...

Ni kama kufinyia ndani, kuna waliokuwa hawajui wamejifunza kwa kusoma namna inatakiwa kufanywa...

Ila ukikuta yule anafahamu kushughulikia jambo kiasili na akalishika.... hata anapokunawisha maji ya kunawa mkono ile ya kutumia beseni na jagi utasema unasingwa au unakogeshwa eehehehehee.
 
Back
Top Bottom