Diamond lazima ampitie bado hajamwona.
Mark my words!
Maskini hapo utakuta kabla hajatoka kalikua kanamsonya
Watu wana maneno humu ndani hatari , kwahiyo unamaanisha Dogo anajipendekeza kwa demu.?
young killer ndio nani?
Mapedeshee watakanyang'anya sasa hiviiii!!!!