picha za 2011

Sasa hapo Dar mboga zenyewe za mto msimbazi wenye sumu na uchafu wa kila aina, si afadhali kujilia nyama na maharage tu!
 
Halafu na hizo alizozivaa ni haki kweli kuzila, hiyo ni karibu ya kilo 5 kwenda juu. Huu ni uharibifu, bongo by nature watu wanakula majani, maisha yenyewe ya tabu, nyama, chicken and samaki havishikiki kwanini usiwe baniani wa hiari?
 
kapendeza sana. ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe kwa haraka na effectivelly kwa walengwa
 
Halafu na hizo alizozivaa ni haki kweli kuzila, hiyo ni karibu ya kilo 5 kwenda juu. Huu ni uharibifu, bongo by nature watu wanakula majani, maisha yenyewe ya tabu, nyama, chicken and samaki havishikiki kwanini usiwe baniani wa hiari?

kwa nini isiwe haki madam wangu, tena wakaka wataziprnda sana hizi, jaribu kuzipiga mnada uone. watu wanapenda chummvi sembuse mboga? suala la kilo 5 nadhani angalia thamani ake na ujumbe uliokusudia. unajua hapo kawasaidia madaktari wangapi duniani kutoa ushauri kama huo, kasaidia watu wangapi kuimarisha macho yao, kinga zao za mwili na vitaminis, kuepuka vitambi nk kama utamsikiliza, ujumbe wake ni mzito na wenye thamani zaidi ya kilo 5 za mbogamboga, na kikubwa umebebwa na mwanamama. very proud!
 

mmmm! Mambo da judithi
 
wapi hii jamni duh
teacher huyo mdada anaitwa mary wanjiru ni mmojawapo wa wadada wanaopiga kampeni dhidi ya ulaji nyama yaani ukatili wa wanyama.hapo anakatiza mitaa ya nairobi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…