Picha za daraja jipya la Selander

Picha za daraja jipya la Selander

Baraka Mina

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2020
Posts
586
Reaction score
590
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekamilisha ujenzi wa daraja jipya la Selander (Tanzanite) lenye urefu wa km 1.30 kwa 100% ambalo litakuwa suluhisho la changamoto ya msongamano kwa jiji la Dar Es Salaam na limeanza kutumika leo 01 Februari 2022 kwa wananchi kulitumia bila malipo.

FB_IMG_1643691507150.jpg
FB_IMG_1643691509412.jpg
FB_IMG_1643702161037.jpg
FB_IMG_1643719952292.jpg
FB_IMG_1643719959447.jpg
FB_IMG_1643719954553.jpg
 
Sawa. Ila credit anapata nani? Jiji au serekali? Soon mtasikia linaitwa Samia Bridge.
 
Nchi ya kijinga sana hii , utasikia hapo wanasiasa wanavojipa ujiko as if hizi huduma jamii kuzipata ni ombi !! Wakati ni lazima[emoji57]
 
Sawa. Ila credit anapata nani? Jiji au serekali? Soon mtasikia linaitwa Samia Bridge.
Serikali kwa sababu ndiyo iliyoingia mkataba na Serikali ya Korea Kusini.

Pia mamlaka za jiji ni sehemu ya Serikali.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekamilisha ujenzi wa daraja jipya la Selander (Tanzanite) lenye urefu wa km 1.30 kwa 100% ambalo litakuwa suluhisho la changamoto ya msongamano kwa jiji la Dar Es Salaam na limeanza kutumika leo 01 Februari 2022 kwa wananchi kulitumia bila malipo.

View attachment 2104175View attachment 2104176View attachment 2104177View attachment 2104180View attachment 2104181View attachment 2104182
Pumzika kwa Amani JPM. Uliposema "tutakukumbuka kwa mema na sio mabaya", Hakika ulimaanisha
 
Kuna jamaa hapa anasema kwann hapo wasiweke toll ili hizo ela zikasaidie kujenga miundombinu mingne?
 
Back
Top Bottom