Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Tulia kaa kwa password Ackson bridgeSawa. Ila credit anapata nani? Jiji au serekali? Soon mtasikia linaitwa Samia Bridge.
Haki yake MagufuliSawa. Ila credit anapata nani? Jiji au serekali? Soon mtasikia linaitwa Samia Bridge.
Itakuwa kioja cha KarneSawa. Ila credit anapata nani? Jiji au serekali? Soon mtasikia linaitwa Samia Bridge.
Kigamboni ni mradi wa iliyokuwa NSSF/PSSF?Kupita hapo ni Bure ila.lile.la.nyerere kigamboni lazima.ulipe
Serikali kwa sababu ndiyo iliyoingia mkataba na Serikali ya Korea Kusini.Sawa. Ila credit anapata nani? Jiji au serekali? Soon mtasikia linaitwa Samia Bridge.
Ni kweli,haliwezi kuitwa Mbowe bridgeSawa. Ila credit anapata nani? Jiji au serekali? Soon mtasikia linaitwa Samia Bridge.
Pumzika kwa Amani JPM. Uliposema "tutakukumbuka kwa mema na sio mabaya", Hakika ulimaanishaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekamilisha ujenzi wa daraja jipya la Selander (Tanzanite) lenye urefu wa km 1.30 kwa 100% ambalo litakuwa suluhisho la changamoto ya msongamano kwa jiji la Dar Es Salaam na limeanza kutumika leo 01 Februari 2022 kwa wananchi kulitumia bila malipo.
View attachment 2104175View attachment 2104176View attachment 2104177View attachment 2104180View attachment 2104181View attachment 2104182
Jambo jema na hongera kwa kazi. Kwa pamoja tusonge mbele.Nafurahi kuwa mmoja kati ya mafundi walioshiriki kulijenga hili daraja.. View attachment 2106899View attachment 2106900View attachment 2106901View attachment 2106934View attachment 2106935View attachment 2106936
Nyumbani Tanzania kunazidi kunoga.Inavutia kama Istanbul