Picha za kaburi la Rahel Laban Bethuel

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau wa jf, nimeambatanisha picha husika

Rahel ni Binti wa Laban Betuel
Ni Mke wa Yakobo aliyeitwa baadaye Israel
Ni Mama was Yusuph na Benjamin
Ni eneo maalumu la kumbukizi kwa Wayahudi Hadi sasa.
 

Attachments

  • 200px-Rachels--tomb-from-nen-side-.jpg
    7.4 KB · Views: 44
  • pOdi8839060.jpg
    24 KB · Views: 44
  • 4d8c9898b5bb88437f053c8b957f47f3_L.jpg
    25.2 KB · Views: 44
  • rachel_tomb_34839(0).jpg
    65.6 KB · Views: 41
Raheli aliyependwa na Yakobo ikabidi Yakobo atumikie miaka kumi na nne kumpata.

Raheli aliiba vinyago vya baba yake, nahisi hiyo nayo ilichangia laana ya kumfanya afie njiani.

Hilo kaburi ni kumbukuzi nzuri, wasiwasi wangu ni kuwa huyu Raheli alifariki miaka mingi sana iliyopita, sijui kama hapo mahali ni hapo hapo alizikwa, let me believe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…