Hahahahaha kuna zile suruali zilikuwa zinabana juu alafu chini zinakuwa pana zilikuwa zinaitwa pekusi alafu unapiga na Laizoni dah mtu anaweka na wevi kiana wale walio kuwa wakifuga hafro.
Jamani mi pozi la mwenye red and white limenikuna, can't stop laughing, ndo anataka kuonyesha vifaa kwa dunia au??!!!....
Na huyo wa kwanza hapo juu ni kwamba kabanwa au....
Hawa ndo wakina P Diddy wa enzi hizo
Trust me hizi pose ukirudisha saa hizi, zitakuwa bomba!...lol!