duuh nakuelewa ndugu yangu inataka moyo kweli maana unaanza ku imagine mambo mengi ukiona picha ya mtu mwenyewe halisi bora kutomjua kabisa....
Hii topi imenigusa sana..
Ngoja nsijibu kitu .......
Sante Amyner
Mm huwa nazijaza kwenye bahasha na kuzituma kwa muhusika!!Wana jF..
Naamini weekend inakwenda vizuri..
Kama tunavyofahamu fika binadamu tumeumbwa na wivu, hisia za kutojiamini nyakati zingine, wasiwasi wa mapenzi, hasa iwapo accidentaly au purposely ukakutana na picha za mpenzi wa zamani wa mwenzi ulienae hivi sasa..
Mi nina swali ningependa kuwauliza, hivi picha za wapenzi wenu wa zamani huwa mnazitunza baada ya kutengana? Mnazichoma moto? mnawarudishia? Au mnazihifadhi kwa njia gani ili isije kuleta mfarakano na mpenzi mpya? Na kama ukakutana nazo utachukua hatua gani?
Huwezi amin mpaka zawadi za nguo niliteketeza kbs,jamani canta kweli ulikuwa na dhumuni la kumsahau totaly! Mpaka zawadi....!!?
Ila kuna wanaume hawapo worth kuwakumbuka even for a second.. Memories huleta pain and heart aches! Picha unaziyeyusha na acid kabisa hata majivu yasibaki...
mh! Aisee nikizifuma za wife patachimbika, ila mm ninazo cjui atamaindi akiziona? Maana za kwenye cm naona hamaindi!
ishu ni kuzipiga kiberiti tuu,but mm ninayo 1 ya mpenzi wangu wa kwanza kabisa,na siwezi kuichoma moto wala kuipoteza coz girl/ nam-love bado!
Wana jF..
Naamini weekend inakwenda vizuri..
Kama tunavyofahamu fika binadamu tumeumbwa na wivu, hisia za kutojiamini nyakati zingine, wasiwasi wa mapenzi, hasa iwapo accidentaly au purposely ukakutana na picha za mpenzi wa zamani wa mwenzi ulienae hivi sasa..
Mi nina swali ningependa kuwauliza, hivi picha za wapenzi wenu wa zamani huwa mnazitunza baada ya kutengana? Mnazichoma moto? mnawarudishia? Au mnazihifadhi kwa njia gani ili isije kuleta mfarakano na mpenzi mpya? Na kama ukakutana nazo utachukua hatua gani?
Mbona nshaoa kitambo na nna watoto 4 na wife kishaziona hata kabla ya kumchumbia?MAVI YA KALE HAYANUKI MKUU.uwekaji wa kumbukumbu unategemeana sana na hisia zako mwenyewe - kama binadamu tunatunza vitu vinavyotufurahisha, kutufundisha, na kujitambua. Picha na vielelezo tu. Kama wawili walitengana kwa amani ama mabadiliko ambayo hayakuweza kuepukika - kuhama, kukua, kutofautiana kindoto nk utupaji wa picha si dharura! Lakini kama ni tafrani ama uhusiano haukuwa na maana yoyote basi utunzaji wa kumbukumbu unakuwa sio muhimu maana hisia au sababu za kuweka kumbukumbu zinakuwa hakuna.
mi niliweka kwenye album, mwenyewe alipoziona aliziangalia,akamthaminisha,akaniuliza huy nani? Nilipomwambia ni ma x akazichukua na kuziweka chini ya picha zingine.
hahahahaah, wife wako mjanja hapo kakukataza coz anajua naye ana yake wa zamani so ngoma iwe droo ukiichoma tu moto akishtukia huo mchezo ujiandae kipigo kama cha wanaume wa kenya.Juzi nilitaka kuzituma kwa mpenzi wa zamani wife akashauri si vizuri hivyo nimeziweka tu kwani yeye nilimpa akachome moto anaona huruma.......
hivyo naendelea kuziangalia.....
Ila nimeona yake na mpenzi wa zamani nataka kuiba na kuichoma moto maana roho inauma