Ajafa yupo MaliPutin ameona mwamba atackua kiti chake ameamua kumtoa kafala
Africa yote inafananaHapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Kama KilosaHapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Hapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Tulia weweeeMbona n nyie mnakenua mimeno kwa Waarabu.
Hao wanaokenua mimeno kwa waarabu ni Accumen Mo adriz na Mufti kuku The InfinityMbona n nyie mnakenua mimeno kwa Waarabu.
Nathikia wanataka wakupe uraiya mkuu je utakubari kwer?Hapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Hivi kumbe Kuna baadhi ya miji mikuu ya nchi inazidiwa uzuri na Mbeya pale center?Hapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Hii nchi imefukarishwa sana na viongozi wake tangu uhuruHapa ni city center mji mkuu wa CAR Bangui
View attachment 2732380
Mkuu mbeya mbobna Geneva? Cheki hapo chini down town Ndjamena mjii mkuu wa Chad.Hivi kumbe Kuna baadhi ya miji mikuu ya nchi inazidiwa uzuri na Mbeya pale center?