Picha za mwisho za Yevgeny Prigozhin Bangui CAR

"Cha kushangaza hao wamatumbi pembeni yake wanakenua mimeno tu huku jamaa akiwaibia rasilmali zao Kwa wingi dhahabu, magogo na almasi."

Africa bara langu...... Wazungu tunawaona wezi na wanyonyaji, Waarabu tunawaona wanyonyaji na wabinafsi.

Na wanaotuaminisha hivyo ni haohao wanaowapokea na kuwakaribisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…