Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 478
dah, kweli kabisa wakamuua?Helcopter ndo inaruka
Pumzika kwa Amani Kamanda,Jiwe huko aliko moto wa nuclear uendelee kumchoma kila sekunde.Picha nyingi zitafuata,kwa sasa ndo tunaanza safari
Pumzika kwa amani Kaka! Uliuwawa mchana na wauwaji uliwajua! Dah CCM!Helcopter ndo inaruka
Ninalia ninalia let's think about his family wanaishi vipi?je walipata msaada wowote wa kisaikolojia?watoto wake je wamepata closure au bado wana hasira na nchi?end of the day wote tutarudi kwake aliyetuumba na kuwasilisha hesabu zetu.Picha nyingi zitafuata,kwa sasa ndo tunaanza safari
Pumzika kwa amani Kaka! Uliuwawa mchana na wauwaji uliwajua! Dah CCM!