Picha za Ray C ndani ya muonekano mpya WA kihindi

Dah, yaani nikimkumbuka Ray C wa kwenye "Nimezama".

Black, jicho jicho, akikaa tu unaiangalia video unaielewa.

Sijazungumzia kiuno hapo.
zamani alizama kwenye mapenzi sasa hv kazama kwenye unga
maisha hayataki mchezo
 
Ninambatiza upya mama kiuno.Rekesh Chavda( Rey C )Sonia Chalamila.Lakini kaacha dona ?
 
Kal ho nahoo?..Kweli Mungu Mkubwa
 
Yaani macho yake tu yanaonyesha kwishnei

Kajiharibu sana
 
mi nimesikia anauza hadi kwa buku5 ili akapone tu!mimi hapa najiandaa nije huko dar nimgonge maana nilishindwa enzi ya end mwamcotton(mwisho mwampamba)alikuwa wa bei ghali
 
MUDA SI MREFU NLIMUONA HAPA DARAJANI MLALAKUWA JKT AKIWA KWENYE BAJAJI AMEIBIWA SIMU....

OVA
 
Kwanini Anauhusudu utamaduni wa kihindi?

Kwanini asivae mavazi ya asili ya kitanzania?

Mambo mengine madogo sana ku criticize, hata suti anazovaa Magufuli sio za kitanzania.
 
haki ya nani, unga ibaki kwa ugali tu, mwanadamu ukijifanya unaijua itakujua zaidi
 
Mungu amtangulie. ...It gonna hit as hard as what is called life....
I once admired her.......
She had everything in her disposal to be what best she could have been. ......
I hope she had learned alot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…