Tetesi: Picha za utupu zamponza Menina, wafadhili wamkimbia, Yupo Kwao Tanga kuaguliwa

Hakufanya makusudi, kuna clip moja nimeisikiliza YouTube wakizozana na jamaa aliyekuwa akitishia kuzivujisha hizo video, inavyoonekana huyo jamaa amempuna Menina pesa nying sana ili asiitoe hizo video, ila mwishowe Menina aligoma kufanywa kitega uchumi tatizo ndipo lilipoanzia , katajwa mpaka Bashite humo
 
We si beberu mwitu tu una wadhifa gani mwengine wa maana?
Hii ni jamiiforum ndugu. Nilikuwa namkumbusha zama zile za "Unanijua mimi nani?!"[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
kutokana na alivyokua anajilamba vidole vyake naamini alikuwa analiwa 0716
 
kutokana na alivyokua anajilamba vidole vyake naamini alikuwa analiwa 0716
Inaonekana humu ndani watu wataalam sana ati maana mm nimeangalia sina ushahidi ushahidi wowote kwamba jamaa aliingilia mlango wa uani hv ninyi mnaoongea kwa uhakika mna ushahidi gani hasa? hebu tusaidiane hapo!
 
nani kasema ushungi ni vazi la kiislam?
 
Kweli Jf ina binadamu wa kila sampuli!

Hivi kuanza kutandaza habari za Mwijaku, sijui Manina bila kuweka 'cachword', sisi tusio na habari na fb tutayajuaje hayo yote?

Ungeelezea hiyo kashifa ilitokeatokeaje na hao wahusika ni kina nani hasa?
 
[/QUOTE]basi siku kibao mimi najua wewe ni me mwnzangu kumbe ke tu?
 
Ila mimi siwezi kum judge Hugo mansion,kwa sababu ni wadada wengi hues wanatuma Hispanic videos kwa wapenzi wap,na mimi ni mnufaika mmoja WaPo,wengine hapa watamtukana lakini nao huwa wanatumiwa hizo video,mwijaku kama kweli kazivujisha basi ni fala sana,alipaswa kufuta
 
Kwa nini tu asingeitwa ”MANINA”. Hapo mwanzo weka herufi mbili za mwanzo za ndege anaefugwa na kuliwa hasa wageni wakija home
 
Menina bank
Sasa hivi mtu akitumia TPD BANK, anaitwa anatumia BANK MENINAH.

Hatari sana, mtu unajiuliza yule mtoto wake akikua sijui atakua na uhusiano gani na mama yake, akaziona zile video za mama yake, dada zetu kuweni makini.
 
Mkuu ushungi siku hizi unatumika kama zana za kazi. Mtu anauvaa ili aonekane muadilifu apate wateja wengi.
Mzee kuna kabinti kaki-tanga kaliniigiZia hizo mambo za ushungi baadae nikakastukia kuwa ni kamalaya kakutupwa nikakacheze mwisho nikakatimua mbaliii
 
Huyo Menina nae B.o.y.a tu ujanja wote kumbe ka.go.ngwa na Mwijaku. anaacha watu wenye hela zao wangekula mzigo kimyakimya anahangaika na watafuta sifa mitandaoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Mbona waislam ndio mnaongoza kwa mambo ya ajabu sana juzi imetoka ripoti pwani ushoga umeshamiri vibaya mno huko pemba imekuwa kawaida kabisa mitandaoni humu tz watu maarufu mauzauza kibao
Acha upuuzi wako wacha kabisa kuchanganya dini na mambo yenu ya kijinga
 
Nani kathibitisha kama ni yeye ndiye aliyezipost hizo video?

Haiingii akilini kama kuna Mtu mwenye akili timamu atakuwa tayari kujidhalilisha.
Akili timamu inaanzia kwenye kutokurekodi mambo yeyote yale ya faragha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…