Sheria na kanuni za usafirishaji juu ya dimensions za magari ndio tatzo. Sio kwamba matajiri wanashindwa kuyanunua wakati ulaya unapata had usedBongo sijui wanasubiri nini kuleta hz ndinga
Toyota Hiace Siperoof halafu ukute humo ndani kimewekwa kifua cha 2RZ injection. Ni mabalaaa tu kwenye vibao vya 50
Shida ni waliopo juu ndio hawapend mabadiriko na miundombinu pia inachangiaKumbe basi waweke mambo sawa na sisi tupande sio kuyaona tu kwa mtandao
Kuna shoo zingine zakibabe sana aisee hadi zinaacha maswali yasiyo na majibu.[emoji590][emoji590]View attachment 2157836
Ukiangalia bus ina vigingi (mawe) , possibly ilikuwa na breakdown unfortunately Nissan patrol ikakizoa kigari cheusi mpaka kwenye bus..Kuna shoo zingine zakibabe sana aisee hadi zinaacha maswali yasiyo na majibu.