Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,292
Amani na mshikamano ukae nanyi wote wakuu wa JF!
ni mara ya kwanza kuanzisha mada katika jukwaa hili.
Mimi sio mwanasheria na ngependa sana kujua kwanini wahalifu mbalimbali wanapokamatwa na jeshi la polisi sio rahisi kuona picha zao mfano mdogo ni muuaji wa padri Mushi kule zanzibar,polisi walitoa mchoro kwa kushirikiana na FBI na sasa wamefanikiwa kumpata muuaji kwanini polisi hawajatoa picha halisi ili tujiridhishe kuwa ndiye aliyechorwa? sio hiyo tu mtesaji wa ulimboka alikamatwa kwanini polisi hawakutoa picha yake?
naomba wanasheria wanasaidie hapo
ni mara ya kwanza kuanzisha mada katika jukwaa hili.
Mimi sio mwanasheria na ngependa sana kujua kwanini wahalifu mbalimbali wanapokamatwa na jeshi la polisi sio rahisi kuona picha zao mfano mdogo ni muuaji wa padri Mushi kule zanzibar,polisi walitoa mchoro kwa kushirikiana na FBI na sasa wamefanikiwa kumpata muuaji kwanini polisi hawajatoa picha halisi ili tujiridhishe kuwa ndiye aliyechorwa? sio hiyo tu mtesaji wa ulimboka alikamatwa kwanini polisi hawakutoa picha yake?
naomba wanasheria wanasaidie hapo