Theresa Shayo alifariki miaka michache iliyopita akiwa ameolewa huko Ujerumani; nadhani alizikwa huko huko.
Mwaka 1967 ndipo hayati Theresa alitwaa taji hilo kwenye shindano lilofanyika hoteli ya Kilimanjaro, alifariki dunia january 26 mwaka 2007 na maradhi ya kansa ya tumbo huku akiwa na umri wa miaka 61; alifariki dunia huko Augburg Munich Ujerumani na kuzikwa uko uko alikokuwa akiishi miaka yote hiyo.
silivya bahame tulikuwa nae chuo,alikuwa law yeye!
-rough driving!Lol.nadhani ni mrembo pekee aliyepata gari ya maana.alipewa hilux double kibini
-ciggarate smoka!actually she was a chain smoker.uzungu mwingi.lol!wapambe wake wanasema maisha yake yote tangu anazaliwa alikuwa london
-pool-table!mama yangu.demu alikuwa master-pool
-HONESTLY SHE WAS THE SEXIEST WOMAN I HAVE EVER SEEN IN MY LIFE!maprof walimsumbua sana,wakamdisko kwa chuki zao tu.lakini akarudishwa
sijui yupo nchi gani dem huyu
silivya bahame tulikuwa nae chuo,alikuwa law yeye!
-rough driving!Lol.nadhani ni mrembo pekee aliyepata gari ya maana.alipewa hilux double kibini
-ciggarate smoka!actually she was a chain smoker.uzungu mwingi.lol!wapambe wake wanasema maisha yake yote tangu anazaliwa alikuwa london
-pool-table!mama yangu.demu alikuwa master-pool
-HONESTLY SHE WAS THE SEXIEST WOMAN I HAVE EVER SEEN IN MY LIFE!maprof walimsumbua sana,wakamdisko kwa chuki zao tu.lakini akarudishwa
sijui yupo nchi gani dem huyu
MwanaFA;
When was that?
Kuna mahali niliwahi kusoma au kusikia kuwa yuko Multchoice. About 2 years back.
sio liyumba huyo? huyu demu alipata sugar daddy moja la kizambia wakafunga nae ndoa.....ndio huyo.....nasikia ndoa imeota pembe.....siku hizi wanasaka wazungu
Mrembo Happiness Magese (Millen) Yupo Jijini New York Toka mwanzoni mwa August/2009 amepata Mkataba na Kampuni ya Ford Model ya Jijini hapo,kabla ya hapo Mrembo huyo alikuwa anafanya kazi Nchini Afrika ya Kusini katika Kampuni ya Ice Model Management.Happiness Magese alikuwa Miss Tanzania mwaka 2001.
Duuh! Hapa naona demu iko na Liyumba wakati bado akipeta BoT!!