Picha za Wema akiwa na bwana ake zavuja

Wacheza filamu ni malaya sana janga la kitaifa (kama huyu ukiwahesa wale official ni zaidi ya 20). Ikitokea mmoja maarufu akaukwaa Ukimwi, vijana wengi wataondoka.
Mjomba teyar vijana wanaangamia kimya kimya tuuu
 
Msingi kiuno kwa kweli,wema endelea kutunyoosha mama papa lako hupangiwi! mfyuu cha ajabu nini wengine washapigwa na madushe zaidi ya Wema ila kutwa kumuhukumu huyu demu maisha yake!
😀😀😀😀😀 Hadi wanaume wamepigwa na madushee taratibu team Wema
 
Dah....hapo ndipo huwa Napata utata sana kwenye kuelewa....Sijui akili yangu ni nzito....🙁🙁🙁🙄
Ni hivi, yule dada umalaya ndio biashara yake kuu..
Na biashara bila matangazo hamna wateja... Nadhani hapo sasa utakuwa umeelewa
 
😀😀😀😀😀 Hadi wanaume wamepigwa na madushee taratibu team Wema
We wasema fyi am not team Wema! wacha kukariri maisha kila anayecomment kinyume na nyie mnavyotaka ni TEAM WEMA EH!
 
Vijana bwana wakipata hela tu cha kwanza wanamkumbuka wema zikiisha anawabwaga
Mimi mwenyewe ni mlanguzi wa korosho nakimbizana sana kwenye vichaka na vijana wa kassim ila nikizipata ndoto yangu ni wema sepetu tu
 
Mbona jamaa anaonekana ana ndoa yatari, au ndio wameowana na wema au jamaa ana chepuka tu kwa wema, maana kidole kina alama ya ndoa
 
Sio kwamba zimevuja hizi kavujisha tena ni kusudi.
Ila huyu bibi atajifunza lini kuweka mambo yake nje ya mitandao

carbamazepine Wema anafanya makusudi kuvujisha, maana umaarufu wake hupanda kwa mtindo huo. Iwe ni kiki, au kutafuta public sympathy.. Tayari yule dada yake maarufu ameshaanza kumtetea akisema aliyevujisha hampendi madam.

Haya mambo yao wanayaelewa wenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…