Mama yake Dai hakuwepo hapo maana mama amekuwa kama parasite kila anapoenda mwanae yupo.Watu na ma baby zao wanakula bata mubashara, hapo no tecno wereva ni mwendo ya I phonee
We utakuwa mtoto wa kishua manake wa huku uswahilini, tunajua kabisa swimming pools zetu za kiuswazi tunazi-manage vp! Unaunganisha mabati tu kisha swimming pool unalifunika kama kisima! Wale wanaojifanya wameenda shule, bati wanazipaka rangi nyeupe... sasa ole ubugi step uzipake rangi nyeusi; mchana haligusiki!Hizi miwani za kuogelea zinauzwa wapi, nimnunulie baby wangu? Lakini kwanza inabidi nijenge swimming pool. Sema huku uswahilini mavumbi na makaratasi ya vitumbua yote yataingia humo humo.
mh mbona ana ki j@mbio cha mb@@@li
Mbona unajipa kiki af unazifuta zote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi miwani za kuogelea zinauzwa wapi, nimnunulie baby wangu? Lakini kwanza inabidi nijenge swimming pool. Sema huku uswahilini mavumbi na makaratasi ya vitumbua yote yataingia humo humo.
ila huyu mama nimemnyanyulia mikono juu,utasema hana hata mtoto wa kusingiziwa kumbe amewafyatua watano mweeeeh.......cjui huwa anajifanya nini ama ndo pesa?Watu na ma baby zao wanakula bata mubashara, hapo no tecno wereva ni mwendo ya I phonee
Hizi miwani za kuogelea zinauzwa wapi, nimnunulie baby wangu? Lakini kwanza inabidi nijenge swimming pool. Sema huku uswahilini mavumbi na makaratasi ya vitumbua yote yataingia humo humo.
Duh!!!na atazaa tu huyu si ni ambassador wa leba
Mkuu mnunulie kwanza miwani..Hizi miwani za kuogelea zinauzwa wapi, nimnunulie baby wangu? Lakini kwanza inabidi nijenge swimming pool. Sema huku uswahilini mavumbi na makaratasi ya vitumbua yote yataingia humo humo.
Hizi miwani za kuogelea zinauzwa wapi, nimnunulie baby wangu? Lakini kwanza inabidi nijenge swimming pool. Sema huku uswahilini mavumbi na makaratasi ya vitumbua yote yataingia humo humo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] miwani ikivunjika kabla swimming pool haijaisha?Mkuu mnunulie kwanza miwani..
Itakupa nguvu ya kujenga swimming pool.
Yani anaudhhi! Kayan'gan'gania ujue bora zingekua kichwa kizima!Na huyo diamond hiyo minywele Ka mchawi
Binamu hebu tupi hiyo video ya zarina alivyokuwa akiyarudi magoma ya 40uliona video ya zari akicheza sengeli kwenye arobaini? yule mtoto ni shigidaa mi nahisi uzungu anatuektia maana alivyokua anayrudi utadhan anakaa mbagala