Hawa ndio watu wa kuwafananisha sio wanafananisha maiti na mtu aliye hai mxiuuu
Numetoa mfano tu kwan kuna tatizo?
Alikuwa mzuri acha kabisa,ila atakuwa anajuta hatari,kama Wema anavyojuta kumcheat Diamond kwa BMW
Unajua kale kasheria kamepitishwaa naogopajeeee
Unapokuja kwenye swala la mvuto na uzuru hawa wadada bhana walipewa kama vile ua rozi