Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
hivi kwa nini mr Machache hakumuoa Madame Ritha?ni mzuri sana kwa kweli
K-LYNN Ana asili ya Burundi na TZ,Madame Ritha ni Mnyarwanda,Zari ni mix ya UGANDA,BURUNDI,Somalia sijui na wapi tena nimesahau.
K-LYNN Ana asili ya Burundi na TZ,Madame Ritha ni Mnyarwanda,Zari ni mix ya UGANDA,BURUNDI,Somalia sijui na wapi tena nimesahau.
Nyumbani ni nyumbani ila Zari mkali
na mhindi pia
rita rita..
zari zari..
ila zariii nyoko
Ananiachaga hoi tu anavyoliaga kwenye BSS yani ana huruma hatar
AHaha sasa anakutamanisha nn jamani
ZAri ni nyokoo bana