PICHA: Zilikua nyakati huru sana kwa wasanii!!!

Hakuna kilichopungua kwa sababu walikuwa hawaingizi mapato yeyote kutokana na hizo picha zaidi ya misosi lunch na dinner ikulu..
 
"golden chances never come twice".
Mkwere poa sana.
 
Hakuna kilichopungua kwa sababu walikuwa hawaingizi mapato yeyote kutokana na hizo picha zaidi ya misosi lunch na dinner ikulu..
Hoja si walikuwa wanaingiza mapato je walitumia vp ukaribu huu na kuingiza mapato na je leo kuna uwezekano wa haya aliyokuwa nayo yakatokea muda huu leo kuwa karibu na Rais ni Opportunity kubwa sana inaweza kubadilisha maisha au hv ndani ya dakika moja sasa waliutumiaje ukaribu na Rais??
 
Kuna Dad halafu kuna Baba.... Malezi tofauti arif!
 
Zilikuwa nyakati za kuchekeana chekeana sana hizi..
 
Sasa hivi ni mwendo wa kaZi tu na uhakika usiokwisha nduki[emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
hata hivyo,sidhani kama hayo maself ya wasanii na JK kama yalisaidia kuboresha tasnia yao.

wengi wao bado naona wanaishi mjini kiujanja ujanja.

wadada wasinii kuuza miili kwa "masiponsa" wao na wakaka wasanii kuishia kutumia na kusafirisha ngada.
 
[HASHTAG]#OnBehalfOfMyself[/HASHTAG]" hacheki na kima....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…