Picha zilizo nihuzunisha sana

Picha zilizo nihuzunisha sana

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
GetAttachment.aspx8.jpgGetAttachment.aspx7.jpgGetAttachment.aspx5.jpgGetAttachment.aspx4.jpgGetAttachment.aspx3.jpgGetAttachment.aspx.jpgGetAttachment.aspx2.jpg

hii inasikitisha sana hao wauaji ni mashetani kweli

(uganda blasts)‏
 
Dr hiyo ni jihad, watu washaaidiwa pepo badala ya ufalme wa mbinguni.
 
Its bad al-shabab inabidi wasakwe mahali walpo mana wasomari wamezagaa kila mahali mii naiomba serikali wawe makini na hawa watu wasibweteke the're nearly!!!to us kwani huku niwengi tanga,arusha,dar,Hivyo erikali itie mkazo katika wageni wawa angalie wanakuja kwa misingigani!Ndo ushahuri wangu kwa vyombo vyote vya usalama japo najua watakuwa wamejipanga.
 
na sie nchi za kiafrica tumezidi kimbelembele hujui watu kwao wanagombania nini unaanza kujifanya eti kupeleka majeshi kulinda amani..ndo tukome sasa
 
Too sad, :crying::crying::crying::crying::A S cry::A S cry::A S cry:
 
Back
Top Bottom