Picha. . . .

Ndoa ikivunjika wakati wahusika wana watoto ni vema picha zote ziwekwe salama kwa ajili ya kumbukumbu kwa watoto. Mfano mimi na ndugu zangu hakuna picha tunazoibiana kama picha za wazazi wetu.

Ila kama ni urafiki wa kawaida; hizo picha ni za kuchoma moto, zinaweza leta ugomvi katika new relationship.
 

Well angalau wamepata uhakika kwamba wako salama.

Di'levis . . . Yeahh ugumu upo kwenye kumbukumbu zilizopo akilini.Ukishindwa kuondoa hizo hata ukichoma mpaka taulo aliloogea haitosaidia sana.
 
Mshiki kama wewe ndo umemuacha? inakuwaje hapa? maana najua mwenye kuachwa ndo anakua na maumivu

hahahaa Meku, hapa sasa ataamua mwenyewe, akiziweka haya, akizichoma sawa, akizipandika kadamnasi namshitaki....lol
 
Mimi nimeachana GF 3, lakini nguo, picha na baadhi ya vitu vyao ninazo! Siku nikikutana na mmoja wapo namkumbusha tu kuwa kuna mizigo yake aliiacha, basi anabaki anacheka/kulia tu. Wengine ndiyo hivyo tena anakuwa anataka turudiane.
 
Mimi nimeachana GF 3, lakini nguo, picha na baadhi ya vitu vyao ninazo! Siku nikikutana na mmoja wapo namkumbusha tu kuwa kuna mizigo yake aliiacha, basi anabaki anacheka/kulia tu. Wengine ndiyo hivyo tena anakuwa anataka turudiane.

Kwahiyo unaweka ili upate sababu ya kuwakumbusha zamani na kuwaliza wenzako?
 
hahahaa Meku, hapa sasa ataamua mwenyewe, akiziweka haya, akizichoma sawa, akizipandika kadamnasi namshitaki....lol
na wewe za kwako utapeleka wapi?
 
Mi siku mama alikua anapika makande nikampa
akageuza kuni makande yakaiva vizuri tu ,nilichanganya
pamaoja na kadi za mapenzi ili makande yaive nakulainika.
 
Picha zilichanwa na barua zilichomwa moto(enzi hizo hakukuwa na mobile phones ).zile zilizofaa kurudishw3a zilirudishwa kwa mwenyewe.
 

matendo hukumbukwa kichwani..........uzifute au la lakini ubongo ndiye msema kweli..............
 
wengine hizo picha wanapeleka kwa waganga wa kienyeji. anafifisha nyota yako hadi umkumbukee
 
Lizzy binafsi if we are done we are done.....
I want nothing to remind me of you, kwanza ili iweje?

Ili ukumbuke B....yaani mtu mmeshare kitanda umsahau hivi hivi tu?

mi nadhani inategemea mmeachana katika mazingira gani....
 
Vitu vingi sana ukiwa binti unasema huwezi vumilia, lakini umri na experience hubadili mitazamo mingi sana hasa watoto wanapokuwa invollved.
I just wish u a happy love life.

Kongosha acheni kunitisha bana. . .
Semeni tu nikue niyaone manini???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…