HALIMA VUNJABE
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Halima Ramadhan Vunjabei ameshinda pambano lake kwa Knock Out ya raundi ya tatu dhidi ya bondia Songul Ayten lililiofanyika usiku wa novemba 23, 2024 mjini Munich nchini Ujerumani.
Halima Vunjabei anakuwa bondia wa kwanza mwanamke kushinda kwa KO nje ya nchi baada ya bondia Abdul Ubaya ambaye ni mwanaume kumchapa kwa KO
Bondia wa Urusi Ibragim Estemirov oktoba 25, 2024 na kulamba shilingi milioni tano kama zawadi ya Knock Out ya Mama.
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Halima Ramadhan Vunjabei ameshinda pambano lake kwa Knock Out ya raundi ya tatu dhidi ya bondia Songul Ayten lililiofanyika usiku wa novemba 23, 2024 mjini Munich nchini Ujerumani.
Halima Vunjabei anakuwa bondia wa kwanza mwanamke kushinda kwa KO nje ya nchi baada ya bondia Abdul Ubaya ambaye ni mwanaume kumchapa kwa KO
Bondia wa Urusi Ibragim Estemirov oktoba 25, 2024 na kulamba shilingi milioni tano kama zawadi ya Knock Out ya Mama.