Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UJI..Nilipokuwa darasa la nne (1994) kuna mwalimu akatudanganya hili jengo limejengwa kwa dhahabu
Ila Trump ana vituko. Sasa hivi vitu vimepanda bei marekani lakini anamlaumu Obama na Biden ndo wamesababisha.Huyo ndio maana alikataa mshahara wa dola laki nne kwa mwaka na alipolazimishwa kwamba kisheria ni lazima apokee salary slip kama mtumishi mwingine yeyote wa Marekani ndipo kwa jeuri akaamua kupokea dola moja (1) tu kwa mwaka mzima.
Anadai yeye kuna mambo anayotaka kuifanyia Marekani.
Sisi huku marais wanajipangia mishahara ya kufuru halafu kwa ushenzi bado wanaipora nchi na kuficha hela walizopora ughaibuni.
Hata huu mradi wa bandari tulioambiwa eti wamepewa waarabu wa Dubai ni ulaghai mtupu ni wa watawala tu ila waarabu wanatuhumiwa tu kuhalalisha dili.
Majengo hayo siyo ya Trump, ila analipwa kutumia jina la Trump kwa marketing. Mwaka 2016 majengo mengi yaliondoa jina lake.Trump towers ni mfululizo wa majengo ya aina hiyo zaidi ya 50 sio tu ndani ya Marekani,pia unaweza kuyapata kwenye nchi nyingine kama UAE,Phillipines na China..Trump ana hela yule
Kwenye orodha ya màtajiri duniani anashika namba ngapi?Trump towers ni mfululizo wa majengo ya aina hiyo zaidi ya 50 sio tu ndani ya Marekani,pia unaweza kuyapata kwenye nchi nyingine kama UAE,Phillipines na China..Trump ana hela yule
Wacha chai!Huyo ndio maana alikataa mshahara wa dola laki nne kwa mwaka na alipolazimishwa kwamba kisheria ni lazima apokee salary slip kama mtumishi mwingine yeyote wa Marekani ndipo kwa jeuri akaamua kupokea dola moja (1) tu kwa mwaka mzima.
Anadai yeye kuna mambo anayotaka kuifanyia Marekani.
Sisi huku marais wanajipangia mishahara ya kufuru halafu kwa ushenzi bado wanaipora nchi na kuficha hela walizopora ughaibuni.
Hata huu mradi wa bandari tulioambiwa eti wamepewa waarabu wa Dubai ni ulaghai mtupu ni wa watawala tu ila waarabu wanatuhumiwa tu kuhalalisha dili.
Ingekuwa vizuri kama wewe ungejiuliza kwanza kwenye mtaa wako au kitongoji chako ni wa ngapi kwa utajiri.Kwenye orodha ya màtajiri duniani anashika namba ngapi?
Asilimia kubwa ni ya kwake japokuwa kuna mengi pia watu wameingia partnership kupitia Trump organization,na hayakuanza baada ya yeye kuwa raisi mengi yapo tangu miaka ya 80Majengo hayo siyo ya Trump, ila analipwa kutumia jina la Trump kwa marketing. Mwaka 2016 majengo mengi yaliondoa jina lake.
View attachment 3245943
Siyo kweli; in fact alipokuwa rais ndipo idadi ya majengo ikapungua. Trump siyo mmiliki wa majengo hayo, na wala hawezi kuamka leo na kusema anayauza. Hana hati za umiliki wa majengo hayo. Anazo apartment kadhaa za kupangisha New Your City pamoja na resorts za golf lakini hata ile Trump Tower ya New York City siyo mali yake.Asilimia kubwa ni ya kwake japokuwa kuna mengi pia watu wameingia partnership kupitia Trump organization,na hayakuanza baada ya yeye kuwa raisi mengi yapo tangu miaka ya 80
Na hizo Trump Towers unazosema, sio zake, bali watu wanatumia jina lake kama "brand" ya kufanyia biashara. Trump anakula kamisheni ya matumizi ya jina lake.Trump towers ni mfululizo wa majengo ya aina hiyo zaidi ya 50 sio tu ndani ya Marekani,pia unaweza kuyapata kwenye nchi nyingine kama UAE,Phillipines na China..Trump ana hela yule