So sad!??..sisi Africa tunakosea wapi?View attachment 1805929
Story ya yule dogo aliyeokotwa mtaani na mtalii
Mkuu hapa wapi
Ingekuwa bongo, hapo kwenye njia ya wapita kwa miguu ni full vibanda vya machinga.View attachment 1840484WW2 na sasa
Ndo umegundua hilo leo?Nimegundua kwa jinsi tulivyo sisi sasa hivi,wenzetu walikuwa hivyo mwaka 1900
Angalia vizuri hizo picha utaelewa namaanisha nini
Madhara ya vita, Allepo SyriaView attachment 1804893