Jk je lini ataandaa?
I am just curios when kikwete is invited!
May be kanga?
Watu wamelipuka ile mbaya. Mimi nadhani hizi zingeenda Jamii Photos lakini...
Mbona hujatuwekea picha ya yule jamaa aliyezamia bana!.
Asante kwa picha mkuu
UN Ambassador Susan Rice with Ian Cameron
Ab-T
Huyu ndiyo mume wa Susan, au ni jamaa wa kumpa maraha huyu mlimbwende