Piere Liquid amepotelea wapi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426

Unaambiwa kwenye mbio za maisha ukipata nafasi ya kupiga hela kihalali itumie haraka sana , Kuchelewa ni hasara kubwa sana.

Huyu kijana alipata nafasi ya kuvuna chochote hadi baadhi ya viongozi wakachukia , Cha ajabu sasa ni hiki , Maadui zake walipoondoka naye amepotea!

Je ni kweli kwamba sometimes tunahitaji maadui ili tufanikiwe?

Yuko wapi Pierre Liquid, Mhamasishaji wa Timu ya Taifa?
 
Duh
 

Mbona yupo anaendelea kutafuta pesa. Jamaa yupo anapambana au una lako binafsi na yeye. tabia za kujadili maisha ya watu hazikisaidii kitu huo ni ujinga Broo
 
Ni kati ya wabunge wapya wa CCM, ila kwa sasa anatumia jina lake halisi.
 
Nilikutana nae Anaenda Tanga wapo kwenye Disco.

Ila nasikia jamaa ni dalali wa fenicha Keko kwahiyo ule umaarufu wa ghafla ulimsaidia kupata channel zaidi katika kazi yake.

Millard Ayo alishawahi mfuata hadi kazini kwake.
 
Nipo Mkuu. nina biashara zangu napiga
 
Yule jamaa wa " maake hapo nicheke" nampongeza coz nakutaka sifa za kijinga pamoja na kuvuma nakutaka kujipigia promo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…