Pierre Liquid afanye hiki ili aweze kuoffer vitu vingi tofauti na slogan yake ya "utabaki kileleni"

Pierre Liquid afanye hiki ili aweze kuoffer vitu vingi tofauti na slogan yake ya "utabaki kileleni"

Impimpi

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2019
Posts
466
Reaction score
964
Wakubwa habarini.
Ni muda sasa nimekuwa nikimfuatilia Konki liquid kupitia baadhi ya video clips zake Instagram.
Ni MTU poa Sana anavoonekana na mwenye furaha.Umaarufu wake umechagizwa Sana na ucheshi wake pale anapokata kilaji pale liquid bar na kutoa baadhi ya slogans zenye mvuto za mamaa nakufaaaa utabaki kileleni mawinguniii chiiiiiiiiii.

Ila sasa ili aweze kuwa na persistence kwenye huu umaarufu anahitaji kufanya kitu cha ziada kuelekea new milestone ya fame yake hii.
Konki liquid navoona sio comedian in such hivo ningependekeza Kama atapata watu WA media angalau wambebe katika hiki;
1.Atafute MTU amsaidie apate LIVE TV TALK SHOW yenye mandhari ya alipotokea I mean ki bar flani hivi huku akiongoza show na washikaji kadhaa ambapo michongo mbalimbali ya kutusua life itajadiliwa huku akiwepo na celebrity hata mmoja hivi .



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza mtu kama piere hatakiwi awe machoni kwa watu muda wote kama unavyoshauri awe na Tv live show kwanza tutamchoka anatakiwa kwenye vimatukio ndiyo atokee, njia zako sio kama njia zake
 
Mi nadhani awe anatoa matangazo yake akiwa tayari ana bia tano kichwani, hapo ndio yatakuwa yamechangamka hayo matangazo, na awe more of himself zaidi ya kuigiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza mtu kama piere hatakiwi awe machoni kwa watu muda wote kama unavyoshauri awe na Tv live show kwanza tutamchoka anatakiwa kwenye vimatukio ndiyo atokee, njia zako sio kama njia zake
Anatakiwa awe anakuja na kitu kipya kila baada ya muda fulani.
 
Wakubwa habarini.
Ni muda sasa nimekuwa nikimfuatilia Konki liquid kupitia baadhi ya video clips zake Instagram.
Ni MTU poa Sana anavoonekana na mwenye furaha.Umaarufu wake umechagizwa Sana na ucheshi wake pale anapokata kilaji pale liquid bar na kutoa baadhi ya slogans zenye mvuto za mamaa nakufaaaa utabaki kileleni mawinguniii chiiiiiiiiii.

Ila sasa ili aweze kuwa na persistence kwenye huu umaarufu anahitaji kufanya kitu cha ziada kuelekea new milestone ya fame yake hii.
Konki liquid navoona sio comedian in such hivo ningependekeza Kama atapata watu WA media angalau wambebe katika hiki;
1.Atafute MTU amsaidie apate LIVE TV TALK SHOW yenye mandhari ya alipotokea I mean ki bar flani hivi huku akiongoza show na washikaji kadhaa ambapo michongo mbalimbali ya kutusua life itajadiliwa huku akiwepo na celebrity hata mmoja hivi .



Sent using Jamii Forums mobile app
Bonge la idea

Ila ilibid usililete hapa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo huwez kumsikia tena...ameshafika kwenye peak, alipoanza kuback fire kila mmoja alitaka kumfahamu, ameshafahamika sasa...wenye kumdharau wameshamdharau wenye kumsifia wameshamsifia.. now curve imeanza kwenda chini, inahtaj nguvu ya ziada kumantain pale alipo mana sio proffesional comedian....umri wake tu unaonesha ametoboa by accident....ingekuwa ni kipaji kabisa angeanza kusikika miaka 20 iliyopita kama akina joti
 
Nionavyo mimi piere awe anapiga vyombo huku akiwa na Cameraman wake ila asijali uwepo wa camera ili awe pure
 
Wazo zuri sanaaaa.

Vuta picha ni Imeandaliwa Kaunta moja imesheeni Vinywaji kadhaa. Halafu wamekaa walevi 3 Wakiongea Mambo ya Nchi au Jamii kwa Mzaha wa Ulevi hivi.

Kingekuwa kipindi kizuri sana. Na kingezidi kumweka juu Pierre. Na angepata Wadhamini wa Kampuni za Bia.
 
Back
Top Bottom