Uchaguzi 2020 Piga kura kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho

Uchaguzi 2020 Piga kura kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Wewe unaye shinda humu, unashinda Facebook, Twitter na Instagram kushabikia CCM ilihali Ndugu zako hasa wazazi wako kule kijijini wanateseka kwa umasikini unao sababishwa na CCM.

Mfumo wa Elimu chini ya CCM ni Janga Kuu kabisa usijidanganye mtoto wako kusoma English Medium, kule sana anajua Kingereza ambacho sio ishu.

Wazazi wako ni wakulima kule kijijini ila kwa sababu ya mfumo wameendeleo kuwa masikini miaka nenda rudi na kuna ambao wameisha tangulia mbele za haki bila kupata maisha bora.

Mazingira ya Biashara ni Magumu sana, kuna mlolongo wa vibari vya kutaka kufungua biashara, Bado unasema CCM juu.

Wacha kuigiza
 
Familia ya Maalim ipo Oman
Tii mamlaka, fuata sheria na taratibu
20201027_100313.jpg


Wamatumbi wanapoteza muda kumtetea
 
huyo tutamuonyesha nguvu ya umma kesho mapema, ila serious wana ccm vichwani hawako sawa, yani mtu yupo hapa anapiga kelele miaka mitano tena ila ukiangalia maisha anayoishi mpaka huruma mara mia na wengine,yani wamechokaaaaa, wakipewa hivyo vielfu kumi wenyewe ndio wanajiona wameyapatia maisha kweli hahahahaha, wakati wenzao wana invest ma project ya billions of money huko
 
#Updates: Polisi, Mgambo na wanajeshi walioletwa kutoka bara wakipiga kuza Zanzibar.
1603786197932.png
 
Back
Top Bottom