Shenazi
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 204
- 128
Mambo zenu.
Leo nataka tu-chitchat kiaina ingine kabisa.
Unachotakiwa kufanya ni kumpigia kura member yeyote wa KIUME humu Jf ambae anakuvutia kwa post zake, ushauri wake, swaga zake, ambush zake, mikato yake, vurugu zake, mawazo yake na kingine chochote kutoka kwake.
Mwisho wa siku yaani alhamisi ya tarehe 10 saa 6 kamili usiku tumpate MWANAUME mmoja atakayeibuka kidedea kwa kupewa kipaumbele na members wenzie humu Jf.
Kumbuka member mmoja, jina moja.
Usitumie Id yako hiyo moja kumrudia member huyo huyo kila wakati.
Mwisho wa kuhesabu kura tareh 10.
Majibu nitayaleta hapahapa jukwaani ChitChat.
Ruksa kubadili Id ili kumrudia member unayemtaka ashinde.
Karibuni.
Wote mnaruhusiwa kupiga kura, wadada na wakaka.
Leo nataka tu-chitchat kiaina ingine kabisa.
Unachotakiwa kufanya ni kumpigia kura member yeyote wa KIUME humu Jf ambae anakuvutia kwa post zake, ushauri wake, swaga zake, ambush zake, mikato yake, vurugu zake, mawazo yake na kingine chochote kutoka kwake.
Mwisho wa siku yaani alhamisi ya tarehe 10 saa 6 kamili usiku tumpate MWANAUME mmoja atakayeibuka kidedea kwa kupewa kipaumbele na members wenzie humu Jf.
Kumbuka member mmoja, jina moja.
Usitumie Id yako hiyo moja kumrudia member huyo huyo kila wakati.
Mwisho wa kuhesabu kura tareh 10.
Majibu nitayaleta hapahapa jukwaani ChitChat.
Ruksa kubadili Id ili kumrudia member unayemtaka ashinde.
Karibuni.
Wote mnaruhusiwa kupiga kura, wadada na wakaka.