[emoji122] [emoji122] [emoji122] . Hongera mdogo wangu kama umeliona hilo.
Waswahili wanasema "funika kombe mwanaharamu apite" [emoji23] [emoji23]
Hahaaa. Sitaki mie ujue. Unasubiria wale waliofunzwa kusema kweli daima pasi kujali wambea watasema nini. Lol.Ila hapa naweka kambi kusubiria watakaofunguka hahah
Hahaaa. Sitaki mie ujue. Unasubiria wale waliofunzwa kusema kweli daima pasi kujali wambea watasema nini. Lol.
Haya ngoja tusubiri wote huenda ticha wetu akapata japo kiji point na yeye. [emoji12] [emoji12]
Nasubiri nione Kura yako atiii[emoji38]Piga kura bana mdogo wangu. Mpigie hata yule ticha wa juzi pale ubaoni.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaa. Nakujua mdogo wangu kwa picha zako. Ila ya ticha wetu muhimu. Najua yule mzee hivyo nina imani patakalika.Hapo hapo nasubiria,watu wanatirirka tu bila kujali nani atamwona wa ajabu safi kabisa. Ntasindikiza na kapicha kunogesha ubuyu
Wacha uchokozi swahiba. Naanzaje Mtanga miee. Mana wanafika 50 ninaowaona michango yao iko vizuri na ina ubora wa hali ya juu hivyo hata kuvote kwa mmoja siwezi. Wacha kura yangu iharibike tu kwa leo.Nasubiri nione Kura yako atiii[emoji38]
Mzima mama? ?
Hahaaa. Nakujua mdogo wangu kwa picha zako. Ila ya ticha wetu muhimu. Najua yule mzee hivyo nina imani patakalika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo sasa . Mi sikutaki kwenye Ile list aiseee watakuwekea vijiba vya roho bure[emoji38] [emoji38]Wacha uchokozi swahiba. Naanzaje Mtanga miee. Mana wanafika 50 ninaowaona michango yao iko vizuri na ina ubora wa hali ya juu hivyo hata kuvote kwa mmoja siwezi. Wacha kura yangu iharibike tu kwa leo.
Mi mzima kabisa.
I see you huu sasa uchokozi[emoji38] [emoji125]Hata member wa kiume wambea tunaruhusiwa kuwataja?
Kuna mtu anatakiwa ajichukulie ushindi.
Umeonaee. Haya zamu yako sasa swahiba kupiga kura. [emoji2] [emoji2]Hapo sasa . Mi sikutaki kwenye Ile list aiseee watakuwekea vijiba vya roho bure[emoji38] [emoji38]
Unataka kuleta WW3Hapo hapo nasubiria,watu wanatirirka tu bila kujali nani atamwona wa ajabu safi kabisa. Ntasindikiza na kapicha kunogesha ubuyu
Mimi sipigi aisee wacha iharibike Kura haiwezi kumwacha mtu salama atiii[emoji23] [emoji23]Umeonaee. Haya zamu yako sasa swahiba kupiga kura. [emoji2] [emoji2]