Pigo jingine kwa watumiaji wa Payoneer hasa freelancers

Pigo jingine kwa watumiaji wa Payoneer hasa freelancers

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Kwa wale wenzangu na mimi mnaodaka pesa mtandaoni mtakuwa manijua payoneer njia inayokuwezesha kuwa na akaunti ya dollar marekani na kadi ya kuwithdraaw pesa yako kwenye atm yoyote, au ukawa na akaunti ya Euro Ujerumani na kadi ya kuwithdraw pesa yako au Pound account U.K.

Sasa kadi za payoneer nje ya U.S uwa zinatolewa na kampuni inajulikana kama Wirecard AG ambayo ni kampuni iliyoko U.K. Kuna mgogoro baina ya FCA na hiyo kampuni ya wirecard AG hivyo card zote za payoneer zinazotolewa na hiyo kampuni kwa sasa hazifanyi kazi, na pesa iliyokuwemo imekuwa frozen.

Kamaulikuwa na salio kwenye account yoyote liko frozen isipokuwa salio litakaloingia kuanzia sasa litaweza kutolewa kwa kulihamishia kwenye local account kama CRDB.

Hawajasema tatizo litatuliwa lini ila ni pigo kwetu maana nami nilikuwa na salio langu limekuwa frozen.
 
Salio kuwa frozen maana yake limezuliwa kwa muda au ndio kimoja kama zile hela za DECI?
 
Kwa wale wenzangu na mimi mnaodaka pesa mtandaoni mtakuwa manijua payoneer njia inayokuwezesha kuwa na akaunti ya dollar marekani na kadi ya kuwithdraaw pesa yako kwenye atm yoyote, au ukawa na akaunti ya Euro Ujerumani na kadi ya kuwithdraw pesa yako au Pound account U.K.

Sasa kadi za payoneer nje ya U.S uwa zinatolewa na kampuni inajulikana kama Wirecard AG ambayo ni kampuni iliyoko U.K. Kuna mgogoro baina ya FCA na hiyo kampuni ya wirecard AG hivyo card zote za payoneer zinazotolewa na hiyo kampuni kwa sasa hazifanyi kazi, na pesa iliyokuwemo imekuwa frozen.

Kamaulikuwa na salio kwenye account yoyote liko frozen isipokuwa salio litakaloingia kuanzia sasa litaweza kutolewa kwa kulihamishia kwenye local account kama CRDB.

Hawajasema tatizo litatuliwa lini ila ni pigo kwetu maana nami nilikuwa na salio langu limekuwa frozen.
Been using payoneer for years, ila sijawahi kuagiza card. Sijaona manufaa ya card kabisa, zaidi ya kuongeza charges. Nahamisha moja kwa moja kwenda kwenye bank. So far hii issue ya Wirecard haijanigusa.
 
Been using payoneer for years, ila sijawahi kuagiza card. Sijaona manufaa ya card kabisa, zaidi ya kuongeza charges. Nahamisha moja kwa moja kwenda kwenye bank. So far hii issue ya Wirecard haijanigusa.
Washaisolve utachagua kama unataka ela ikae kwenye kadi na kiasi gani maana kwa sasa hawaruhusu ela directly iingie kwenye kadi
 
Washaisolve utachagua kama unataka ela ikae kwenye kadi na kiasi gani maana kwa sasa hawaruhusu ela directly iingie kwenye kadi
Kwanini hauhamishi direct kwenye account na unatumia card?
 
Kwanini hauhamishi direct kwenye account na unatumia card?
Nahamishaga kuanzia dollar 1000 na kuendelea, ila kama ni chini ya hapo uwa naiacha kwa ajili ya malipo na sometimes naweza kuwa nina shida ya kudraw pesa faster so upwork dakika 0 imeingia kwenye kadi naidraw. halfu mimi uwa sitoi ela kwenye platform unless nataka kuitumia ila nadhani nitaanza tumia formula ya kuhamisha maana kadi inakula ela nyingi sana
 
Nahamishaga kuanzia dollar 1000 na kuendelea, ila kama ni chini ya hapo uwa naiacha kwa ajili ya malipo na sometimes naweza kuwa nina shida ya kudraw pesa faster so upwork dakika 0 imeingia kwenye kadi naidraw. halfu mimi uwa sitoi ela kwenye platform unless nataka kuitumia ila nadhani nitaanza tumia formula ya kuhamisha maana kadi inakula ela nyingi sana
I draw the same amounts, and think kwenda kwenye bank ni far easier and cheaper. But hey that's just me
 
I draw the same amounts, and think kwenda kwenye bank ni far easier and cheaper. But hey that's just me
Nitaaza fuata system yako maana actually Leo nimepata long time project nadhani hii itanisaidia sana
 
Kwa wale wenzangu na mimi mnaodaka pesa mtandaoni mtakuwa manijua payoneer njia inayokuwezesha kuwa na akaunti ya dollar marekani na kadi ya kuwithdraaw pesa yako kwenye atm yoyote, au ukawa na akaunti ya Euro Ujerumani na kadi ya kuwithdraw pesa yako au Pound account U.K.

Sasa kadi za payoneer nje ya U.S uwa zinatolewa na kampuni inajulikana kama Wirecard AG ambayo ni kampuni iliyoko U.K. Kuna mgogoro baina ya FCA na hiyo kampuni ya wirecard AG hivyo card zote za payoneer zinazotolewa na hiyo kampuni kwa sasa hazifanyi kazi, na pesa iliyokuwemo imekuwa frozen.

Kamaulikuwa na salio kwenye account yoyote liko frozen isipokuwa salio litakaloingia kuanzia sasa litaweza kutolewa kwa kulihamishia kwenye local account kama CRDB.

Hawajasema tatizo litatuliwa lini ila ni pigo kwetu maana nami nilikuwa na salio langu limekuwa frozen.
Lipia tangazo wewe, payoneer ndio nini
 
Nitaaza fuata system yako maana actually Leo nimepata long time project nadhani hii itanisaidia sana
I get a flat rate fee of 15$ for any amount I draw. Bank wanakata like 20k kwa really large amounts which is insignificant if you ask me for pulling $1000+. Fanya hivyo mkuu, you will be saving a lot, achana na kadi. Kama ni manunuzi, get an equity account, vuta pesa humo ukitaka kununua nunua na card ya equity, very small charges
 
Nahamishaga kuanzia dollar 1000 na kuendelea, ila kama ni chini ya hapo uwa naiacha kwa ajili ya malipo na sometimes naweza kuwa nina shida ya kudraw pesa faster so upwork dakika 0 imeingia kwenye kadi naidraw. halfu mimi uwa sitoi ela kwenye platform unless nataka kuitumia ila nadhani nitaanza tumia formula ya kuhamisha maana kadi inakula ela nyingi sana
Huwa sio uwa bro
 
I get a flat rate fee of 15$ for any amount I draw. Bank wanakata like 20k kwa really large amounts which is insignificant if you ask me for pulling $1000+. Fanya hivyo mkuu, you will be saving a lot, achana na kadi. Kama ni manunuzi, get an equity account, vuta pesa humo ukitaka kununua nunua na card ya equity, very small charges
DUh wakati kudraw milion moja kwenye atm wanakata zaidi ya 80000, I think kuanzia sasa nitafuata formula yako aisee
 
DUh wakati kudraw milion moja kwenye atm wanakata zaidi ya 80000, I think kuanzia sasa nitafuata formula yako aisee
Nimedraw $2000, kato la kwanza ni hiyo flat rate ya 15$, then equity wakakata ilikua like 25k. Na pesa ukitoa monday - thursday unaipata siku hiyo hiyo. Kwanini uhangaike na kadi mkuu. Tena kwa transactions za chini ya 1M huwa ni like 17k bank charges plus 15$ hiyo. So very convenient. Plus hamna monthly fee and all that ish za card. 😀
 
Nimedraw $2000, kato la kwanza ni hiyo flat rate ya 15$, then equity wakakata ilikua like 25k. Na pesa ukitoa monday - thursday unaipata siku hiyo hiyo. Kwanini uhangaike na kadi mkuu. Tena kwa transactions za chini ya 1M huwa ni like 17k bank charges plus 15$ hiyo. So very convenient. Plus hamna monthly fee and all that ish za card. 😀
Nitaenda fungua akaunti equity kesho maana natumia CRDB
 
Kaka tupatie hiyo michongo ya kupiga kazi mtandaoni
Websites zipi zinatoa kazi mtandaoni
Jah bless
 
Back
Top Bottom