hakuna ungainly mtauza kenya na huo unafik wenuNext year as Hunger strikes again, Tz will be selling Flour to kenya at ksh 50 Per 2kg packet. While Maize imported all the way from Sadc and milled by cartel Milling Firms will be ksh 160 before subsidy.
As aways with Free Markets, Price is King, JPM will be making a killing
Pewa hii practical example babaaKama hiyo theory huikubali, basi chukua hii[emoji116] [emoji116] [emoji116]
Kenya ranked as 'failed state'
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
You are a liar. Uga group closed Tz Mill in 2011.Kampuni ya Unga group iko na viwanda vya mahindi in Uganda and Dar.
We take your maize, process it, sell it back to you, then take the profit back to Kenya, kwa hio game ya biashara mtauma meno siku zote...
Remember what happened when you banned exportation of unprocessed milk to Kenya and processed milk from Kenya....
Sema ugali uliopikwa na wakenya maana amjui kabisa kupika wakenya mnapika Ugali kama wa shimo la chewa prisonJambo la busara kwa JPM kufanya mambo wakifikiri soko la kenya, Yeye amegundua kwamba uzalishaji wa bidhaa hapa kenya upo juu sana kwa sababu ya ufisadi na ubepari. Viwanda vya Tz huzalisha bidhaa kwa bei ya chini sana na ni mda tu bidhaa zote EAC ziwe za kutoka Tz. Jambo nzuri, JPM anona mbali, aendelee hivyo hivyo hadi viwanda hapa kenya vifungwe ili mabepari na mafisadi walioiteka kenya wafilisike na wakose tax revenues
Mimi na ugali maadui wakubwa.
SafiJambo la busara kwa JPM kufanya mambo wakifikiri soko la kenya, Yeye amegundua kwamba uzalishaji wa bidhaa hapa kenya upo juu sana kwa sababu ya ufisadi na ubepari. Viwanda vya Tz huzalisha bidhaa kwa bei ya chini sana na ni mda tu bidhaa zote EAC ziwe za kutoka Tz. Jambo nzuri, JPM anona mbali, aendelee hivyo hivyo hadi viwanda hapa kenya vifungwe ili mabepari na mafisadi walioiteka kenya wafilisike na wakose tax revenues
Usijali mpaka mchele utaletewaMimi na ugali maadui wakubwa.
Mimi hula ugali ya wimbi babaa sio mahindi.Sema ugali uliopikwa na wakenya maana amjui kabisa kupika wakenya mnapika Ugali kama wa shimo la chewa prison
There about 47 LDC countries world wide, but only seven to nine failed states, congratulation for being among the few[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Pewa hii practical example babaa
Tutanunua na pesa sio msaada.Usijali mpaka mchele utaletewa
Hahaa.. mimi nimehisi ni wrong post!Kaka wewe haupo na wenzako kabisa, jaribu kufuatilia mada kwa undani uweze kuelewa kinachozungumzwa baadae uje kivyengine.
Limbukeni Uhuru Kenyatta atachukua Eurobond nyingine kununua unga Tanzania. KichaaTutanunua na pesa sio msaada.
Aujui kupika usitudanganye njoo dar ksh 50 unapewa ugali na mboga 5 zilizo pikwa vizuri hadi unanwonea huruma muuzajiMimi hula ugali ya wimbi babaa sio mahindi.
Hiyo company ilikua lini Tanzania? Nipe evidenceKampuni ya Unga group iko na viwanda vya mahindi in Uganda and Dar.
We take your maize, process it, sell it back to you, then take the profit back to Kenya, kwa hio game ya biashara mtauma meno siku zote...
Remember what happened when you banned exportation of unprocessed milk to Kenya and processed milk from Kenya....
Hawa jamaa zako wengi hawana information, pili wanatapatapa kutumia kila uongo na njia mbali mbali kujaribu kuitetea Kenya, nchi ambayo uchumi wake upo mikononi mwa mabepari wachache, wao hawajui kitu zaidi ya kutetea mfumo dhalimu wa mabepari. Kwa kifupi Magufuli atazamisha kabisa uchumi wa Kenya kama wakenya wataendelea kushindana naye.You are a liar. Uga group closed Tz Mill in 2011.
Such a shame for you to lie
Unga Group set to wind up dormant Tanzania subsidiary
The bigger the crowd, the worst the reputation. Si unajua pia Turkey ni failed State na tupo nao hapa kwa hapa...onyesha mimi Turkey na Kenya kwa hii ramaniThere about 47 LDC countries world wide, but only seven to nine failed states, congratulation for being among the few[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Kenya ranked as 'failed state'
dont care bora sote tutailipa na unga sio bure.Limbukeni Uhuru Kenyatta atachukua Eurobond nyingine kununua unga Tanzania. Kichaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]There about 47 LDC countries world wide, but only seven to nine failed states, congratulation for being among the few[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Kenya ranked as 'failed state'