Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ndo Kenge alikuwa anachambua au anaikandia Simba,wewe ndo unapashwa kuacha umamaUkiazisha huuu ujinga hatufiki popote yeye ni mchambuzi
Ureno kwenye Euro 2016 aliitwa underdog akachukua ubingwa .
Acha umanara kenge wewe.
Kaa pembeni shoga weweUkiazisha huuu ujinga hatufiki popote yeye ni mchambuzi
Ureno kwenye Euro 2016 aliitwa underdog akachukua ubingwa .
Acha umanara kenge wewe.
HahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaKaa pembeni shoga wewe
Huyu jamaa anajifanya anaujua sana mpira anasikiliza wachambuzi wa ulaya kisha anajifanya anatuchambulia kumbe wengine tunakuwa tumeusikia uchambuzi wa wachambuzi wa ulaya.Yeye na luambano waendelee kuishangilia Yanga tu "This is Simba"Uliiponda sana Simba sasa aibu imekufika,siku nyingine usirudie kumkebei Simba mnyama kwenye nguvu nyingi.
Amesahau kwamba uzee wa simba sio ujana wa fisiJamaa bado sana. Waswahili wanasema usinene ukamala. Sasa nadhani atajifunza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapigwa Lita Moja Ya Ulanzi Na Kilo Moja Ya Nyama Ya Mbwa Kadevera Yupo Dimbwini
Shaffih Dauda alitakiwa awe bank clerk ndo professional yake ila mpira basi tu ujanja wa mjini kapata ulaji, underdog Simba kuliko js Soura timu iliyoanzishwa 2008? Mara Oooh timu gani sijui inakuja kuchukua point 9 kwa Simba haya sasa hizo timu zake kubwa hakuna aliyeshinda taifa..Huyu jamaa anajifanya anaujua sana mpira anasikiliza wachambuzi wa ulaya kisha anajifanya anatuchambulia kumbe wengine tunakuwa tumeusikia uchambuzi wa wachambuzi wa ulaya.Yeye na luambano waendelee kuishangilia Yanga tu "This is Simba"
Sent using Jamii Forums mobile app