Pigo kwa Simba: Joshua Mutale aondolewa kwenye mechi za Kufuzu AFCON 2025 baada ya kuumia

Pigo kwa Simba: Joshua Mutale aondolewa kwenye mechi za Kufuzu AFCON 2025 baada ya kuumia

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Nyota wa Klabu ya Simba, Joshua Mutale, hatoshiriki kwenye mechi za kufuzu michuano ya AFCON 2025 ambazo Zambia itacheza kwenye tarehe za FIFA, Novemba 15 na 19.
1731490684771.png
Mutale, aliumia katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya KMC na alijumuishwa kwenye kikosi cha Chipolopolo, lakini taarifa zinathibitisha kuwa anarejea Tanzania kwa ajili ya matibabu ya ziada.

Hii ni changamoto nyingine kwa Mutale, ambaye ameanza vibaya katika utumishi wake ndani ya Simba kutokana na majeraha. Mutale atakosa mechi dhidi ya Ivory Coast na Sierra Leone na sasa atapewa uangalizi wa karibu na madaktari wa Simba SC.
 
Alio Anza nao mpira wote wamesha staafu, kaja Tanzania eti ana miaka 20 Matokeo yake pancha haziishi.
 
Alio Anza nao mpira wote wamesha staafu, kaja Tanzania eti ana miaka 20 Matokeo yake pancha haziishi.
Upo sahihi mkuu hapa anaungana na babu boka tangu wasajiliwe ni pancha tu sababu ya uzee.
 
Asipokuepo simba inacheza vizuri kuliko akiwepo. By the way kagoma na hamza watakuwa wameshapona so no problem at all.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Kwa Simba hii hakuna pigo lolote..kikosi kipana sanaa
 
Back
Top Bottom