Alex ex-saviery
Member
- Aug 9, 2013
- 23
- 5
Nina piki piki tatu aina ya cluser,moja mpya kabisa na nyingine mbili ni good second hand (zimetumika kdogo) na zote zimesajiliwa kila kitu pamoja na bima, bei ni kuanzia SH.MILION MOJA NA LAKI MBILI (1.2m) kwa aliyesiliaz tuwasiliane 0717342771 nipo dar.INGINE CAPACITY 150, insurance inaisha Mwez wa6 mwka 2014,seating capacit 2,imetengenezwa 2010,imesajiliwa mwez wa 6 mwaka 2013.