Mchina mchina tu hata umpambe vipi.
Kwanza Abiria wenyewe wakifika wanaangalia aina ya Pikipiki.SANLG na mchina wengine zinatabia ya Vibrations,yaani full mitetemoko abiria wengi wanazipotezea.Na ndio maana ukifika kituoni unaona abiria anachagua na akipanda mtetemo harudi tena.
Boxer ndio dhamana,kimya ipo safi,hataka spare zake ni ghali ila zinadum sana tofauti na mchina,na hata ukisema uuze unauza bei nzuri kuliko SANLG hata laki laki tisa mtu hakupi.
Boxer ndio habari ya mjini,hata Benz spare zake ni ghali lakini inadum kwa muda mrefu,Uimara wa Boxer ni Zaidi ya miaka miwli hadi mitatu kwa mtunzaji ikiwa katika hali ya ubora wake,lakini mchina muda mfupi tu Engine inaanza kelele na kunguruma kama Pungo.
Boxer ukiipatia Services zake basi kesi kishwa.Na ndio kipenzi cha kina Dada kama Vitz,we mdada yuke kwenye Hedhi unamtetemeshea ------ kwa Pikipiki ya Mchina kwanini.Ndio maana wanapenda Boxers hawataki kero.