PIKIPIKI: Bajaj Boxer 150 vs TVS 150

PIKIPIKI: Bajaj Boxer 150 vs TVS 150

Degelingi_One

Member
Joined
Nov 17, 2018
Posts
72
Reaction score
121
Wasalaam wakuu humu ndani,

Mwezi ujao natarajia kuingia dukani kuchukua chombo cha usafiri pikipiki.

Kuna hivi vyuma Boxer na tvs kwa haraka haraka unaweza ukadhani ni vyuma sawa.

Lakini wataalamu na wazoefu wanavijua vema kipi kinamzidi mwenzake.

Naomba ushauri wenu ipi ni nzuri hasa kwenye maintanance, confortability, fuel consumption na off-road use. ushauri wenu tafadhali.

boxer.jpg


tvs.jpg
 
Chukua tvs 125, utakuja kunishukuru baadae ukiikosa chukua boxer 150 hiyo tvs 150 sikushauri kabisa
Mkuu acha kumuingiza Chaka kijana.
Mkuu chukua hiyo tvs 150x ni machine nzuri sana na ina nguvu na mafuta kidogo tena chukua version yenye 4gears.
Me ninayo hiyo ina Mika 2 na nusu nimebadili ni gamba ya nyuma na tube yake na kubadili oil tu basi.
Engine yake sijawahi gusa na odometer yake inasoma 33,000km
 
Chukua Boxer Bm 150
Tvs hakuna kitu
 
Boxer kwa mjini... TVS kwa shamba...

Ngoja waje kukupa muongozo...
 
nina boxer 150, ila ndoto yangu ni TVS 150X ngoma ina mngurumo mmoja matata
 
kwenye balance, ulaji mzuri wa mafuta boxer ipo vizuri, shida inahitaji matunzo , kubadili oil filter mara kwa mara, na spare zake ni ghali, ila TVS filter ikifungwa imefungwa na wese inakula kuliko boxer pia ni nyepesi kwenye mchanga kuliko boxer
 
Back
Top Bottom