INAUZWA Pikipiki bei nafuu

INAUZWA Pikipiki bei nafuu

Frank mtanganyika

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2018
Posts
497
Reaction score
785
Purse bajaji cc 200 valve 4 na plug 2
Ipo dar
Info contact 0783166050
Price 1m
Imetumika miezi michache
Screenshot_2020-04-10-12-31-55-1.jpeg
Screenshot_2020-04-10-12-31-55.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pikipiki ya kutembelea bado ipo vzuri Japo mabampa yamechoka ya kubadilisha na taa ya nyuma imevunjika naitupa kwa yoyote nauza laki nne na nusu Tsh450000/=0717-517589 nipo mburahati madoto.
IMG_20200412_170202_824.jpeg
IMG_20200412_170104_695.jpeg
IMG_20200412_170131_789.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau mwenye tutorial ya jinsi ya kuendesha boda boda anisaidie maana nataka nijifunze

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi uliopita nilikua sijui kuendesha pikipiki, ila leo napita highway kwa tahadhari, cha kwanza nilimkodi boda boda nikampa elfu 10 tukaenda uwanjani akaanza kunipa initial training ambayo kikubwa ni balance, control, kujua,brakes clutch na throttle zinakuwa controlled vipi, baada ya hapo nikanunua pikipiki akawa anakuja jamaa yangu tunfanya practise kwenye eneo la wazi kwa muda wa masaa mawili kila siku kwa siku sita, baada ya hapo, nilianza kutoka lami siku ya saba, na kila siku jioni nilikua naangalia motorcycle riding tips, kama una bundle la kubania zipitie WikiHow maana hizo ni za maandishi na picha haziconsume MB Nyingi, otherwise angalia youtube kuna mamilioni ya Video yanakusubiri!! ila ningekushauri uanze kujifunza na mtu anaejua kwenye eneo lililowazi hasa viwanja.
 
Mwezi uliopita nilikua sijui kuendesha pikipiki, ila leo napita highway kwa tahadhari, cha kwanza nilimkodi boda boda nikampa elfu 10 tukaenda uwanjani akaanza kunipa initial training ambayo kikubwa ni balance, control, kujua,brakes clutch na throttle zinakuwa controlled vipi, baada ya hapo nikanunua pikipiki akawa anakuja jamaa yangu tunfanya practise kwenye eneo la wazi kwa muda wa masaa mawili kila siku kwa siku sita, baada ya hapo, nilianza kutoka lami siku ya saba, na kila siku jioni nilikua naangalia motorcycle riding tips, kama una bundle la kubania zipitie WikiHow maana hizo ni za maandishi na picha haziconsume MB Nyingi, otherwise angalia youtube kuna mamilioni ya Video yanakusubiri!! ila ningekushauri uanze kujifunza na mtu anaejua kwenye eneo lililowazi hasa viwanja.
Nashukuru mkuu, ila nimeshajua nilipata mwalimu kanifundisha vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom