Pikipiki bila vioo vya pembeni (side mirror) ni hatari kwa abiria!

Pikipiki bila vioo vya pembeni (side mirror) ni hatari kwa abiria!

Wiki 3 zilizopita nilikuwa mkoani nilishangaa vijana wa bodaboda wote wameondoa vioo vya pembeni nikawauliza shida ni nini wakaniambia hiyo ndiyo FASHION Kwa vijana...

Kijana anayetumia side mirror ni mshamba tena hajui kuendesha pikipik
 
Dah hao ndio vijana wetu TZ, wanatoa side mirror alaf akitaka kuvuka anageuza shingo kuangalia nyuma kama kuna gari,,, anaendesha bodaboda anakaa tako moja amevaa kijinsi kimekatwa ovy ovy ( kinjunga) kavaa ndala alaf na virasta vichafu cjui wanaita dred ( kama sijakosea ) alaf yupo speed atari,,, ukiuliza takwamu za ajali za bodaboda zilizoua mkoani ruvuma 2021 zinasikitisha kwa kweli
 
Na wewe kwanini upande bodaboda Haina kioo Cha pembeni ?
Dreva Hana helmet Yake na ya abiria .?

Tukiisusia kesho atatafuta na wote watakuwa smart
 
Abiria unayejitambua usipande pikipiki isiyokuwa na vioo vya pembeni, kwani kusababishiwa hatari ni wakati wowote!
 
Hakika, tusipopanda pikipiki hizi wote wataweka. Ni hatari sana
 
Back
Top Bottom