Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
MBEYA NAIPATAJE,View attachment 694594 View attachment 694595 View attachment 694597
Hii ilinunuliwa mwaka 2015 mwezi wa tisa , ilikuwa ikitumika katika shughuli za bodaboda gongo la mboto.
2016 mwezi wa 8 niliiweka ndani tuu maana dereva alikuwa si muaminifu ktk hesabu na utumiaji.
2017 mwezi wa 5 nikaanza kuitumia mwenyewe.
Karibu,mawasiliano 0746426085
We mtu wa mbeya kweli au ndo multiple idsMBEYA NAIPATAJE,
kama ina Document zoteee , 1m nakupa
Hapo hakuna pikipiki.!View attachment 694594 View attachment 694595 View attachment 694597
Hii ilinunuliwa mwaka 2015 mwezi wa tisa , ilikuwa ikitumika katika shughuli za bodaboda gongo la mboto.
2016 mwezi wa 8 niliiweka ndani tuu maana dereva alikuwa si muaminifu ktk hesabu na utumiaji.
2017 mwezi wa 5 nikaanza kuitumia mwenyewe.
Karibu,mawasiliano 0746426085
document zote zipo mkuu,,upo wapi uje uikagueIna documents zote? Kama zipo 700,000 ipo
Nipo Mbeya bossWe mtu wa mbeya kweli au ndo multiple ids
document zote zipo mkuu inapatikana dodoma upo wapi ili uje uikagueLaki 9 ipo ila iwe document zote
inasafirishwa tu mkuu unaipata,document zote zipoMBEYA NAIPATAJE,
kama ina Document zoteee , 1m nakupa
tugawane gharama mkuu,nusu kwa nusuusafirishaji Gharama zako au vipi??
Utapata mpya ila sio boksa labda izo brand nyingineSasa 1,000,000/= ukiongeza 1,200,000/= tu unapata mpya kabisaa
nitumie namba yako ya simu mkuu PM ili nikupigieGharama ni shingapi boss
ndo tunachart, nimekutumia sms hujibu namba angu mwishon ni 3782nitumie namba yako ya simu mkuu PM ili nikupigie
nimeshakutumia sms mkuundo tunachart, nimekutumia sms hujibu namba angu mwishon ni 3782