Pikipiki inahitajika

Pikipiki inahitajika

Braniac

Senior Member
Joined
Aug 17, 2010
Posts
151
Reaction score
6
Pikipiki inahitajika
Specifications:
150-200cc
Bei isizidi 2,000,000/=
 
kaka cc 150 ipo T- better bei 1,500,000
cc 200 aina ya shine rey bei 1,600,000

for more information nicheki 0779000084
bw. furaha
 
Hata mimi nahitaji pikipiki ila naona hakuna mdau mwenye habari kuhusu hii kitu hapa
 
Hivi katika hizi pikipiki za Kichina ipi ambayo ni bora na ubora wake ni upi zaidi ya nyingine?
 
kaka kwa hiyo pesa yako unaweza ukapata YAMAHA nzuri... at least ongezea kidogo kama laki mbilie tatu... za kichina ni HEADACHE... nakushauri nendwa kwa viwanda vinavyoaminika... HONDA, YAMAHA na na vingine vya japan... nimennua YAMAHA CRUX 110 kwa 2,200.000 (milioni mbili na laki mbili)... a month ago
 
pikipiki inauzwa aina ya T-Better 150cc bei 1.2M,0655300551
 
Gari aina ya Toyota Starlet inauzwa 5.5M,ni la mwaka 1995,engine 1300cc,rangi ya silver,lina km 142,000.lipo kaika hali nzuri nimekuwa nalitumia kuja kazini na kurudi.kwa mawasiliano 0655300551 au 0755869500.Atakaye taka kuliona aje samora opposite na SAPNA Shop.
 
kaka kwa hiyo pesa yako unaweza ukapata YAMAHA nzuri... at least ongezea kidogo kama laki mbilie tatu... za kichina ni HEADACHE... nakushauri nendwa kwa viwanda vinavyoaminika... HONDA, YAMAHA na na vingine vya japan... nimennua YAMAHA CRUX 110 kwa 2,200.000 (milioni mbili na laki mbili)... a month ago
Kaka naomba uzoefu kidogo kwa mchina maana bei zao zinavutia sana na zinashawishi kuzinunua.
 
Unataka lini?mm ninazo nyingi ziko znz kwa sasa ntaenda kuchukua wknd hii lkn si mchina ni usa mtumba,ninazo zaidi ya 50
 
Kaka naomba uzoefu kidogo kwa mchina maana bei zao zinavutia sana na zinashawishi kuzinunua.
sina uzoefu mkubwa binafsi kwa mchina... ila nimeona kwa wenye nazo watu wangu wa karibu... lifespam yake ikizidi two yrs shukuru mungu.. kwanza kinachozifanya ziwe hatari.. ni kuwa wachina wanaziingiza zikiwa separate.. then wanawachukua vijana na kuwaonyesha jinsi ya kuziassamble... ss hapo ndio shida... mtu hana utaalamu anachiwa aasamble na kufanyia wire-ring... unakuta makosa kibao yanayoweza kusababisha kuungua moto hiyo pikipiki. na pia hata vifaa vyake sio imara.. ni rahisi kukuta clutch imekatika au handle bars... kwa kifupi.. ni pikipiki ambazo hazihitaji rabsha ili zidumu.. na zisiwe na watumiaji wengi.. otherwise utajikuta six month huna pikipiki. na ndio maana bei ndogo.. used unaipata kwa hadi laki sita
 
sina uzoefu mkubwa binafsi kwa mchina... ila nimeona kwa wenye nazo watu wangu wa karibu... lifespam yake ikizidi two yrs shukuru mungu.. kwanza kinachozifanya ziwe hatari.. ni kuwa wachina wanaziingiza zikiwa separate.. then wanawachukua vijana na kuwaonyesha jinsi ya kuziassamble... ss hapo ndio shida... mtu hana utaalamu anachiwa aasamble na kufanyia wire-ring... unakuta makosa kibao yanayoweza kusababisha kuungua moto hiyo pikipiki. na pia hata vifaa vyake sio imara.. ni rahisi kukuta clutch imekatika au handle bars... kwa kifupi.. ni pikipiki ambazo hazihitaji rabsha ili zidumu.. na zisiwe na watumiaji wengi.. otherwise utajikuta six month huna pikipiki. na ndio maana bei ndogo.. used unaipata kwa hadi laki sita

Mkuu nashukuru sana kwa mlisho nyuma.
 
Unataka lini?mm ninazo nyingi ziko znz kwa sasa ntaenda kuchukua wknd hii lkn si mchina ni usa mtumba,ninazo zaidi ya 50

Mkuu, una pkipki aina gani, au ndy umejaza haley? unaweza kuweka specs na picha ya mashine kadhaa unazoona nzuri! Na bei tafadhali, masika yanakaribia huku kwetu inabd kupata mashine moja ya kukruzi milimani, thanx
 
Pikipiki inahitajika
Specifications:
150-200cc
Bei isizidi 2,000,000/=

Mimi ninayo xl 125cc from japan, kama unaihitaji ni pm. Au kama utahitaji yamaha mate 50cc na honda super cab ninazo nyingi tu huko zbar na naweza kukuletea kama upo dar.
 
Mimi ninayo xl 125cc from japan, kama unaihitaji ni pm. Au kama utahitaji yamaha mate 50cc na honda super cab ninazo nyingi tu huko zbar na naweza kukuletea kama upo dar.

hiyo yamaha mate 50cc ndo sh. ngapi niko interested
 
Back
Top Bottom