INAUZWA Pikipiki inauzwa bei chee sio ya kukosa mwambie na mwingine

INAUZWA Pikipiki inauzwa bei chee sio ya kukosa mwambie na mwingine

Bujoro

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,115
Reaction score
2,231
PIKIPIKI IMESHAUZWA, IMESHANUNULIWA NINA WA SHUKURU WATU WOTE WA HUMU NDANI KWA USHIRIKIANO WENU HATIMAE NIMEUZA SIKU NYINGINE NIKITANGAZA BIASHARA MSIWE NA SHAKA WALA WASIWASI YOYOTE

Wakuu ni matumaini yangu wote humu mko poa, kijana wenu baada ya salam nmekuja kwenu kuwapaa fursa ya pikipiki ninaiuza ni tvs150 ya blue ni gia 4 sio 5 ni zile za mwanzo mwanzo ni imara sana na bado iko na hali nzuri kama inavoonekana hapo kweny picha inapiga stata jino moja tu imewaka ni namba Mc 679 CBB ni mali yangu mwenyewe haina tatizo bali mimi ndo nina shida ya hera maana kimfaaacho mtu chake niliinunua kwa mtu nae alikuwa na shida nmetumia kwa mda wa kama mwaka mmoja baada ya kuinunua

Bei yake ni laki 9 na nusu ila ukiwa serious maongezi yapo, alieniuzia alikuwa anatumia kuendea tu kazini na kurudi ila baada mimi kuinunua niliifanya bodaboda. Docoment zake zote zipo kwa maana ya Kadi ya pikipiki mimi sio mara ya kwanza kufanya biashara hapa mtandaoni hasa hapa jf ninaishi dar kwangu mitaa ya Kinyerezi Kifuru unaweza kuja hata ukapaona kwangu napokaa na familia yangu pia nishauza vitu kibao tu na wala sina longolongo wala siuzagi vitu vyenye matatizo ni vyangu mwenyewe

nishawahi uza hapahapa jf duka la vipodozi miaka kama miwili iliyopita, mabati ya msauzi, friji, redio, kisimbuzi, nk na vyote nilipata wateja, kwaiyo niwaondoe shaka unaeza kujiridhisha kwa kutembelea account yangu hii ya Bujoro kuona kama ni kweli huwa nauza vitu vingine kupitia hapa lakini pia kuna account yangu nyingine now nimeisahau password zake nafanya mpango wa kuiweka sawa inaitwa wiwachu nayo unaweza kuichek ukaona vitu nimewahi kuuza kupitia hizo account na ukapata uhakika pia. Unaweza usihitji wewe lakini ukawa ndugu jamaa nna maafiki hata jirani yako pia. Asanteni na karibuni sana wahi usichelewe Kwa mawasiliano nichek call, sms na WhatsApp 0756695846 na 0712776823.
IMG_20221217_123219_019.jpg
IMG_20221217_123229_199.jpg
IMG_20221217_123203_507.jpg
 
Mwambie mkuu maana hii pikipiki ni mnyama kweli kweli inatembea sio poa mlio wake sasa barabarani pikipiki zinakupisha zenyewe
Karibuni sana kwa walio serious
 
maelezo meengi biashara gani hii
Kwaiyo umekoment bila kusoma kwann sasa ukoment bila kusoma yaani unataka kusema maelekezo yote hayo tena ww mwenyewe umekiri kuwa ni mengi lakin hata hujui ni biashara gani inazumgumzwa hapa.. Maajabu haya[emoji23][emoji23] soma upya
 
Kwaiyo umekoment bila kusoma kwann sasa ukoment bila kusoma yaani unataka kusema maelekezo yote hayo tena ww mwenyewe umekiri kuwa ni mengi lakin hata hujui ni biashara gani inazumgumzwa hapa.. Maajabu haya[emoji23][emoji23] soma upya
biashara gani sio sijui kinachouzwa ila maeleezo mengi ni jau
 
Pikipiki bado ipo jmn karibuni sana
 
PIKIPIKI IMESHAUZWA, IMESHANUNULIWA NINA WA SHUKURU WATU WOTE WA HUMU NDANI KWA USHIRIKIANO WENU HATIMAE NIMEUZA SIKU NYINGINE NIKITANGAZA BIASHARA MSIWE NA SHAKA WALA WASIWASI YOYOTE

Wakuu ni matumaini yangu wote humu mko poa, kijana wenu baada ya salam nmekuja kwenu kuwapaa fursa ya pikipiki ninaiuza ni tvs150 ya blue ni gia 4 sio 5 ni zile za mwanzo mwanzo ni imara sana na bado iko na hali nzuri kama inavoonekana hapo kweny picha inapiga stata jino moja tu imewaka ni namba Mc 679 CBB ni mali yangu mwenyewe haina tatizo bali mimi ndo nina shida ya hera maana kimfaaacho mtu chake niliinunua kwa mtu nae alikuwa na shida nmetumia kwa mda wa kama mwaka mmoja baada ya kuinunua

Bei yake ni laki 9 na nusu ila ukiwa serious maongezi yapo, alieniuzia alikuwa anatumia kuendea tu kazini na kurudi ila baada mimi kuinunua niliifanya bodaboda. Docoment zake zote zipo kwa maana ya Kadi ya pikipiki mimi sio mara ya kwanza kufanya biashara hapa mtandaoni hasa hapa jf ninaishi dar kwangu mitaa ya Kinyerezi Kifuru unaweza kuja hata ukapaona kwangu napokaa na familia yangu pia nishauza vitu kibao tu na wala sina longolongo wala siuzagi vitu vyenye matatizo ni vyangu mwenyewe

nishawahi uza hapahapa jf duka la vipodozi miaka kama miwili iliyopita, mabati ya msauzi, friji, redio, kisimbuzi, nk na vyote nilipata wateja, kwaiyo niwaondoe shaka unaeza kujiridhisha kwa kutembelea account yangu hii ya Bujoro kuona kama ni kweli huwa nauza vitu vingine kupitia hapa lakini pia kuna account yangu nyingine now nimeisahau password zake nafanya mpango wa kuiweka sawa inaitwa wiwachu nayo unaweza kuichek ukaona vitu nimewahi kuuza kupitia hizo account na ukapata uhakika pia. Unaweza usihitji wewe lakini ukawa ndugu jamaa nna maafiki hata jirani yako pia. Asanteni na karibuni sana wahi usichelewe Kwa mawasiliano nichek call, sms na WhatsApp 0756695846 na 0712776823.
View attachment 2449711View attachment 2449712View attachment 2449713
HII PIKIPIKI IMESHAUZWA, IMESHANUNULIWA NINA WA SHUKURU WATU WOTE WA HUMU NDANI KWA USHIRIKIANO WENU HATIMAE NIMEUZA SIKU NYINGINE NIKITANGAZA BIASHARA MSIWE NA SHAKA WALA WASIWASI YOYOTE
 
Back
Top Bottom