INAUZWA Pikipiki inauzwa bei nafuu, imetunzwa vizuri

Joined
Aug 3, 2022
Posts
41
Reaction score
86
Nauza hio pikipiki bei ya kutupa (ukita kadi isome majina yako ni ndani ya saa 24 tayari kadi inasoma majina yako)

Imetumika kwa matumizi binafsi haijafanya kazi ya boda boda

Bado haijaguswa na fundii

Bei yake ni nafuu saana yaan 900,000/=tsh

Napatikana Dar es salaam, Magomeni-Mwembechai.

Jodam-supply

PIGA 0768101677

Ukiwa Mwanza unaipata ndani ya mda mfupii mnoo


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…