Pikipiki isiyo na vioo vya pembeni ni hatari

Pikipiki isiyo na vioo vya pembeni ni hatari

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Hebu tuacheni kusingizia Mungu kwa ajali tunazo jitakia!
Hivi mjini kati magari yamejaa, mtu unapanda pikipiki haina Vioo vya pembeni maarufu kama said Mira (Side Mirrow) unategemea nini?

Vile vioo kazi yake nikuonesha gari Linalokuja nyuma hivyo bila hivyo vioo, Pikipiki huweza kuingia barabarani au kuhama kwenda upande wa pili wa barabara au Kuovateki bila kujua kuna gari nyuma na hivyo kugongwa na kusababisha ulemavu au Kifo!

Kama unapenda maisha yako, USIPANDE PIKIPIKI ISIYOKUWA NA VIOO VYA PEMBENI
 
Hebu tuacheni kusingizia Mungu kwa ajali tunazo jitakia!

Hivi mjini kati magari yamejaa, mtu unapanda pikipiki haina Vioo vya pembeni maarufu kama said Mira unategemea nini?

Vile vioo kazi yake nikuonesha gari Linalokuja nyuma hivyo bila hivyo vioo, Pikipiki huweza kuingia barabarani au kuhama kwenda upande wa pili wa barabara au Kuovateki bila kujua kuna gari nyuma na hivyo kugongwa na kusababisha ulemavu au Kifo!

Kama unapenda maisha yako, USIPANDE PIKIPIKI ISIYOKUWA NA VIOO VYA PEMBENI
Mimi bila kugeuza shingo sioni amani kabisa .sivitumiagi nikiwa kwa pkpk
 
udereva una mambo mengi ila ukifuata sheria na kujipenda maisha yako hutafanya mchezo kwa vitu muhimu kama hivyo. siku moja kigamboni kuna dogo wa chugga alikuja na bike yake sjui katokea wapi na fujo hana sight mirror hana indicator light alafu akawa anakunja kulia nilimgonga na ilikua asubuhi sana kama saa kumi na moja mungu anisamehe maana nilishuka kumpa msaada cha ajabu ananiambia broo utanilipa nilijikuta narudi kwenye gari nawasha nasepa na alijichanganya kwenye ngao nilipasua tu fog ila yy alikua mtaroni pikipiki inavuja tank na hafai damu kama zote. funzo ni kuwa hivi vifaa vinavyokuja na vyombo kuvitoa ni kujitaftia kaburi zuri tu
 
Hebu tuacheni kusingizia Mungu kwa ajali tunazo jitakia!

Hivi mjini kati magari yamejaa, mtu unapanda pikipiki haina Vioo vya pembeni maarufu kama said Mira unategemea nini?

Vile vioo kazi yake nikuonesha gari Linalokuja nyuma hivyo bila hivyo vioo, Pikipiki huweza kuingia barabarani au kuhama kwenda upande wa pili wa barabara au Kuovateki bila kujua kuna gari nyuma na hivyo kugongwa na kusababisha ulemavu au Kifo!

Kama unapenda maisha yako, USIPANDE PIKIPIKI ISIYOKUWA NA VIOO VYA PEMBENI
Nimekuelewa, siku nyingine andika side badala ya said
 
Back
Top Bottom