Pikipiki isiyotumia mafuta: Je, zinapatikana madukani au ni za kujiundia?

Pikipiki isiyotumia mafuta: Je, zinapatikana madukani au ni za kujiundia?

MC44

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
2,169
Reaction score
3,297
Huyu jamaa nimemsikia BBC ana pikipiki ya kuchaji. Zinapatikana madukani au ni ya kujiundia?

=====
Kijanaa.PNG

Anthony Kapinga

Pikipiki.PNG

Pikipiki ya Bw. Kapinga

Ifahamu pikipiki inayotumia umeme ambayo wengi wameiona kama rafiki mkubwa wa Mazingira kutokana na ukweli kwamba pikipiki hii haina mlio na haitoi moshi kabisa.

Dereva Boda boda mmoja nchini Tanzania kwa jina la Anthony Kapinga amekuwa kivutio kwa wengi hasa baada ya kuanza kutumia Boda boda isiyotumia mafuta kwa muda wa mwezi mmoja sasa.

Kijana huyu anatupa sifa halisi za pikipiki hiyo huku akiisifu kuwa imemuingizia kipato kikubwa kwa muda huu mchache alioitumia.

Chanzo: BBC Swahili
 
Mmh,wajuvi tusaidieni!

Inatumia umeme wa namna gani? Ni umeme wa sola au, kama ni solar na vipi jua likikata na safari inaendelea,na kama ina betri la kutunza chaji je hilo ni betri la namna gan mpaka pikipiki ya namna hiyo ikahimili kumbeba dreva na abiria/mzigo maeneo ya milimani kama Kawetele ya Mbeya?
 
mmh,wajuvi tusaidieni!
inatumia umeme wa namna gani? ni umeme wa sola au,kama ni solar na vipi jua likikata na safari inaendelea,na kama ina betri la kutunza chaji je hilo ni betri la namna gan mpaka pikipiki ya namna hiyo ikahimili kumbeba dreva na abiria/mzigo maeneo ya milimani kama Kawetele ya Mbeya?
Anachaji kwenye umeme.

Betri ikiwa full ina km zake za kutembea
 
Nahitaji hizi kubwa.
 
Back
Top Bottom