Mhhh!
Aah! Hamna kitu ndugu. Nimeguna tu.Vp mkuu
Aah! Hamna kitu ndugu. Nimeguna tu.
laki2Ilinunuliwa February, 2019, mwezi September, 2019 ikapata ajali. Tangu ipate ajali hakuna matengenezo yoyote yaliyofanyika, kwa muda wote huo ipo ndani.
Ina nyaraka halali.
Inapatikana Dsm.
Njoo na ofa yako tuzungumze.
View attachment 2821560
Marekebisho: Engine capacity ni 150 na sio 125.
Elezea baada ya ajali kitu gani kilipata madhara ili nikija na offer yangu nizingatie hayo madhara. Siwezi kujihukumu bila kufahamu hali halisi ya pikipiki. Kuna nyingine huwa zikipata ajali haziharibiki sana na kunanyingine kama hiyo yako
laki2
Unaonaje ukairekebisha aalf ukaiuza?
Kwa sisi wazoefu wa pikipiki hapo ni kubeti maana kama chuma haijatembea toka 2019 alooo na mbaya uliiacha na oil yake hukuchukua hatua zozote inamaana mazaga ya ndani huenda yashakua mfu
Sawa ila hongera pia kwa kua mwana jf wa kwanza kuwa muwazi kwenye swala la pesa mfukoni waliobaki woote ni matajiri kasoro mimi tuAsante kwa ushauri wako mkuu.
Ningeuchukua ushauri wako, unfortunately mfuko hauko vizuri. Atakayehitaji kuinunua ataikagua na kunipatia offer yake, ikiwa ni pamoja na estimation ya gharama zitakazotumika kuirepair.
Karibu.
Sawa ila hongera pia kwa kua mwana jf wa kwanza kuwa muwazi kwenye swala la pesa mfukoni waliobaki woote ni matajiri kasoro mimi tu
Kula 400k
600k sifiki mkuu,, afu picha hazijajitosheleza hata hivyo.Karibu PM tuyajenge mkuu.
Ila jivute vute angalau ifike 600K.